chipolopolo 2
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 3,291
- 1,839
Eti majaliwa amuhoji riz,yani mjomba mtu amuhoji mpwa wake uliona wapi?
Mh kumbe majaliwa ni ndugu na salma?
Eti majaliwa amuhoji riz,yani mjomba mtu amuhoji mpwa wake uliona wapi?
Wizi wa kodi or makontena ubachukuliwa kama ni watu fulani tu wametenda, ukweli ni kwamba huu ni uwozo na uwongozi wa ccm ulio fail kuongoza nchi, zaidi wao ni ufisadi.
Kibogo tunatakiwa kutafakari kwa kina kabla ya kuhukumu watu. Mimi nadhani ni vizuri tuwe na maswali ya kujiuliza. Hivi Waziri ameandika report na kuipeleka ngazi husika halafu kabla ya kujua nini hatima ya report yake raisi anamhamishia wizara nyingine je, hapo alitakiwa kujiuzulu kwa kuhamishwa wizara au kwa report yake? je unapokuwa waziri ukatoa report unatoa deadline kwa rais atoe majibu? Aliyemrithi Mwakyembe alitakiwa kujiuzulu na sio yeye ambaye hakuwa na mandate tena na ile wizara. Ingekuwa aliona uozo huo halafu akaufumbia macho mm nisingetoa haya maneno, lakini alipoona matatizo alitoa taarifa ya kina ( accoding to mtoa taarifa) na kumpatia mkuu wake wa kazi ili ashughulikie na wala hakuna sehemu ilipogundulika kuwa yeye ni mhusika katika sakata hilo, infact he is clean. Baadaye akapewa kazi nyingine EAC, hivi kwa kujiuzulu baada ya kuhamishiwa huko asingeonekana mwehu? hivi watanzania wangemuuliza angejibu anajiuzulu kwasababu zipi wakati kwenye wizara aliyopo hakuna tatizo? Je tusingeona kwamba yeye alikuwa na ulaji amekatiwa kule wizara ya uchukuzi? Hiyo ni tafakuri yangu ambayo watanzania wenzangu ningeomba nao wajaribu kuiangalia kwa pande zote. Tusifanye visa bali tujadiri kwa mapenzi ya nchi yetu. Itakuwa ni vibaya sana tukajadiri mada hii tukiwa na makovu ya Richmond kwenye bongo zetu.Hapo ndio unafiki wa Mwakyembe unapojidhihirisha kama aliyajua hayo inakuwaje hakuyasema na akakazania issue ya RICHMOND huku akificha uchafu huo na ule wa madawa ya kulevya ya akina Masogane? kwa hiyo kwa maana halisi Mwakyembe hafai kuwa kiongozi sehemu yeyote.
of course. Hakuna sheria inayomkataza mtu kuwa na nyumba hata 200. Nyumba ni biashara kwa hiyo ndio biashara yake. Halafu ukikuta ana kakampuni basi, keshashinda kesi. Tuhuma za rushwa ni ngumu kuthibisha, maana lazima kuwe na clear evidence. Na kama akiwa na kimemo cha Rais ndio kabisaaa .No case
Siku kikwete akijikoroga kuachia uenyekiti basi na kikwete tutamshuhudia segereaa!!!
Suala sio kujiuzuru ninachotaka uelewe ni kwa nini huyu Mwakyembe alikaa na amekaa kimya hadi sasa juu ya kashfa hii ya makontena huku yamepotea yeye akiwa Waziri? Na tumemshuhudia akitokwa na povu juu ya RICHMOND na kujidai yeye aogopi chochote kwani kama kufa aliisha kufa.Kibogo tunatakiwa kutafakari kwa kina kabla ya kuhukumu watu. Mimi nadhani ni vizuri tuwe na maswali ya kujiuliza. Hivi Waziri ameandika report na kuipeleka ngazi husika halafu kabla ya kujua nini hatima ya report yake raisi anamhamishia wizara nyingine je, hapo alitakiwa kujiuzulu kwa kuhamishwa wizara au kwa report yake? je unapokuwa waziri ukatoa report unatoa deadline kwa rais atoe majibu? Aliyemrithi Mwakyembe alitakiwa kujiuzulu na sio yeye ambaye hakuwa na mandate tena na ile wizara. Ingekuwa aliona uozo huo halafu akaufumbia macho mm nisingetoa haya maneno, lakini alipoona matatizo alitoa taarifa ya kina ( accoding to mtoa taarifa) na kumpatia mkuu wake wa kazi ili ashughulikie na wala hakuna sehemu ilipogundulika kuwa yeye ni mhusika katika sakata hilo, infact he is clean. Baadaye akapewa kazi nyingine EAC, hivi kwa kujiuzulu baada ya kuhamishiwa huko asingeonekana mwehu? hivi watanzania wangemuuliza angejibu anajiuzulu kwasababu zipi wakati kwenye wizara aliyopo hakuna tatizo? Je tusingeona kwamba yeye alikuwa na ulaji amekatiwa kule wizara ya uchukuzi? Hiyo ni tafakuri yangu ambayo watanzania wenzangu ningeomba nao wajaribu kuiangalia kwa pande zote. Tusifanye visa bali tujadiri kwa mapenzi ya nchi yetu. Itakuwa ni vibaya sana tukajadiri mada hii tukiwa na makovu ya Richmond kwenye bongo zetu.
Mungu ibariki Tanzania
Why Lowassa amehangaikia Ikulu kwa muda mrefu?why Jk amuzuie,why JK adhurumu haki ya wadanganyika kuchagua mtu wamtakaye?Inawezekana ndani ya Lowassa kuna kitu wanaccm wanakiogopa?hivi nyie chadema mnadhani chuki dhidi ya Jk inalipa? U are wasting alot of yout time,jitahidini kucontrol frustration mbona hii sio mara yenu ya kwanza kushindwa uchaguzi? Inawauma sana jk kumzuia lowassa kuingia ikulu! Jueni tu huyo jamaa yenu ana gundu maana ameihangaikia mno ikulu na bado hajafanikiwa
Akamatwe aisaidie polisi
Why Lowassa amehangaikia Ikulu kwa muda mrefu?why Jk amuzuie,why JK adhurumu haki ya wadanganyika kuchagua mtu wamtakaye?Inawezekana ndani ya Lowassa kuna kitu wanaccm wanakiogopa?
Kuna mantiki,maana kuna majipu mengine yatatumbuliwa kwa ganzi na mengine hayatatumbuliwa.
hivi nyie chadema mnadhani chuki dhidi ya Jk inalipa? U are wasting alot of yout time,jitahidini kucontrol frustration mbona hii sio mara yenu ya kwanza kushindwa uchaguzi? Inawauma sana jk kumzuia lowassa kuingia ikulu! Jueni tu huyo jamaa yenu ana gundu maana ameihangaikia mno ikulu na bado hajafanikiwa
Duuuuh bado unaota tu? Amka ujenge uchumi wako na wa nchi