Mjamaa1
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,836
- 6,281
Ridhiwani yumo kwenye hilo sakata, HSC, ubalozi wa heshima huko Guangzou Uchina, pia FaizaFoxy yumo humo.
Huyu Faiza Fox ?? Mkuu weka details aisee
Ridhiwani yumo kwenye hilo sakata, HSC, ubalozi wa heshima huko Guangzou Uchina, pia FaizaFoxy yumo humo.
hivi nyie chadema mnadhani chuki dhidi ya Jk inalipa? U are wasting alot of yout time,jitahidini kucontrol frustration mbona hii sio mara yenu ya kwanza kushindwa uchaguzi? Inawauma sana jk kumzuia lowassa kuingia ikulu! Jueni tu huyo jamaa yenu ana gundu maana ameihangaikia mno ikulu na bado hajafanikiwa
Huyu Faiza Fox ?? Mkuu weka details aisee
Wizi wa kodi or makontena ubachukuliwa kama ni watu fulani tu wametenda, ukweli ni kwamba huu ni uwozo na uwongozi wa ccm ulio fail kuongoza nchi, zaidi wao ni ufisadi.
Mpuuzi wa Mwisho Weweee...hivi nyie chadema mnadhani chuki dhidi ya Jk inalipa? U are wasting alot of yout time,jitahidini kucontrol frustration mbona hii sio mara yenu ya kwanza kushindwa uchaguzi? Inawauma sana jk kumzuia lowassa kuingia ikulu! Jueni tu huyo jamaa yenu ana gundu maana ameihangaikia mno ikulu na bado hajafanikiwa
Siku kikwete akijikoroga kuachia uenyekiti basi na kikwete tutamshuhudia segereaa!!!
Tena mpumbavu kabisa si aende kuwafunga gidamu za viatu ajaona mwezakeHii ni mbinu ya kizee kuwatoa watu kwenye mada husika. Ni hivi Ritz1 na babayake wako nyuma ya upotevu wa kodi ya serekali. Na si hilo tu walishiriki mengi sana ya kulihujumu taifa hili bila aibu. Kwahiyo kuwachomekea cdm hapa ni upuuzi wa hali ya juu. Mpuuzi mkubwa ww kwa kujipendekeza kwa wahujumu wa taifa.
hivi nyie chadema mnadhani chuki dhidi ya Jk inalipa? U are wasting alot of yout time,jitahidini kucontrol frustration mbona hii sio mara yenu ya kwanza kushindwa uchaguzi? Inawauma sana jk kumzuia lowassa kuingia ikulu! Jueni tu huyo jamaa yenu ana gundu maana ameihangaikia mno ikulu na bado hajafanikiwa
Ina maana masamaki na wenzie tutawaona wakipeta uraiani kama kawa
hivi nyie chadema mnadhani chuki dhidi ya Jk inalipa? U are wasting alot of yout time,jitahidini kucontrol frustration mbona hii sio mara yenu ya kwanza kushindwa uchaguzi? Inawauma sana jk kumzuia lowassa kuingia ikulu! Jueni tu huyo jamaa yenu ana gundu maana ameihangaikia mno ikulu na bado hajafanikiwa
of course. Hakuna sheria inayomkataza mtu kuwa na nyumba hata 200. Nyumba ni biashara kwa hiyo ndio biashara yake. Halafu ukikuta ana kakampuni basi, keshashinda kesi. Tuhuma za rushwa ni ngumu kuthibisha, maana lazima kuwe na clear evidence. Na kama akiwa na kimemo cha Rais ndio kabisaaa .No case
Kwenye Home Shoping Centre ana hisa kwenye hayo makampuni. Wewe fuatilia vizuri na taratibu.