Karudi Baba mmoja toka safari ya mbaliKARUDI BABA MMOJA ...TOKA SAFARI YA MBALI
WATOTO WAKE WAKAJA ...ILI KUMTAKA HALI
KUMTAKA NA KAULI...WAIPATE MALI
nimesahau kidogo......... was a good song.
saana tu hata sisi walala hoi alitutembelea tulipokumbwa na mafuriko,tulifarijika sana kumwonaPamoja na yoote, huyu mzee ana utu na ubinadamu
Askofu tena cardinal kutibiwa Dubai badala ya Vatican hili nalo nenoKwenye red hapo! Very interesting
Umenichekesha kweli, enzi zile Jakaya akiitwa MathewWaseminari wamekutana (joke)
Huyo ndiye mwenye migodi aliyeiuzia Barrick. Magu angenegotiate naye arudishe angalau mapato fulani bongo yalinufaishe taifa.Anakwenda Canada kuweka mambo sawa
Pengo anaumwa, alikuwa kwenye matibabu Marekani na tulitangaziwa kwamba yupo safarini kurejea hapa nchini. Hivyo ni hakika kwamba hapo yupo njiani kurejea nchini.Pengo siku hizi ni mmisionary katumwa kuhubiri salam Maria Dubai?