Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,940
- 6,854
Hivi tena kama kuna kitu kinachoitwa kustaafu kwa lazima kwa nini mtu uombe tena kibali cha kustaafu? Si angekaa kimya hadi hapo ambapo angeombwa kuongeza muda kwa mkataba maalum. Hapo ndipo angeweza kukataa kuongeza muda. Au waandishi wanataka ku-spin kuonyesha kama vile amelazimishwa? Ninachohisi ni kuwa jamaa alimtaarifu Mkuu kuwa muda wake wa kustaafu unakaribia. Si vinginevyo.
Amandla......
Amandla......