EMMANUEL SHOMBE
Member
- Oct 2, 2009
- 89
- 0
Afunguliwe kesi ya kutokuwajibika katika nafasi yake. kabla ya kustaafu
Kila la heri J. Mwanyika!!! Ukweli ninao ufahamu jamaa hakuwa na raha kabisa na huo wadhifa (from reliable sources). Cheo kile kinakulazimisha kufanya uproffessional decissions!!!! Hakupenda!!! Believe it or not. Ni kwa muda mrefu alitaka ajiuzulu!!! Ingeleta mtikisiko!!!