ficha ujinga wako,kikwete hakumtaka magufuli kikwete alimtaka kaka yake membe,wafuasi wa lowassa ndio waliomchagua magufuli ili membe akose sio unarukiarukia mambo kama wadada wauza bar,huyo jk akipumzika msoga atakosa nini anakagua mradi kama nani,waziri wa maji anafanya kazi gani,mijitu ya pwani mijinga sana ndio maana magufuli kaitosa kwenye uongozi najua na wewe kwa akili zako zinakutosha kuvukia barabara tu ubongo umejaa makamasi kushabikia ujinga ,watanzania dizaini yako mnaongeza idadi ya watu wasio na tija kwa nchi yao tunaonekana tuko mil 45 kumbe kuna mijitu kama bure kabisa,