Kikwete akagua Mradi wa Maji!

Kikwete akagua Mradi wa Maji!

ficha ujinga wako,kikwete hakumtaka magufuli kikwete alimtaka kaka yake membe,wafuasi wa lowassa ndio waliomchagua magufuli ili membe akose sio unarukiarukia mambo kama wadada wauza bar,huyo jk akipumzika msoga atakosa nini anakagua mradi kama nani,waziri wa maji anafanya kazi gani,mijitu ya pwani mijinga sana ndio maana magufuli kaitosa kwenye uongozi najua na wewe kwa akili zako zinakutosha kuvukia barabara tu ubongo umejaa makamasi kushabikia ujinga ,watanzania dizaini yako mnaongeza idadi ya watu wasio na tija kwa nchi yao tunaonekana tuko mil 45 kumbe kuna mijitu kama bure kabisa,
hata wachaga wenye akili nyingi ameanza kuwafyeka kwenye serikali yake, wewe uko wapi ndugu!
 
mradi wa maji wa chalinzee......... kazi kweli kweli!
 
Bunge wahoji hili haraka! Why and how nchi iwe na marais wawili?
 
Nimeangali na kufuatilia mambo nimegundua Tanzania yangu ina serekali Mbili.Moja tunaijua ambayo ni halali na nyingine inafanyia kazi mafichoni.Hii ya mafichoni muda si mrefu kama system haitaikemea inaimeza serekali halali muda si mrefu.Tuupe muda wakati.
Isomwe na kaka yangu @MANI
 
Wanajiaibisha sana! wanamtia aibu mtoto wao Riz1 aliyepo bado kwenye siasa.

Hujamuona na yeye yupo akisupport?Ni ushamba wa hali ya juu kabisa.Hata ukialikwa bado Waziri anakuwa Mkubwa kwako.Halafu watu wote wale wa nini??
 
pepo JK limeanza kuwaingia baadhi ya wananchi!. Poleni sana ndg zangu, JK inabidi akapimwe akili zake kama zipo sawa. Nina mashaka na watu watokao pwani sasa! nyie wengine mtanisamehe
Upimwe kwanza wewe
 
hata wachaga wenye akili nyingi ameanza kuwafyeka kwenye serikali yake, wewe uko wapi ndugu!
magufuli ana roho ya revenge nimeshasema,anatubomolea nyumba zetu kwa sababu hatujamchagua
 
IMG-20151230-WA0103.jpg


IMG-20151230-WA0101.jpg


IMG-20151230-WA0096.jpg

IMG-20151230-WA0102.jpg

IMG-20151230-WA0100.jpg


IMG-20151230-WA0098.jpg


IMG-20151230-WA0107.jpg
Anakagua kama nani?
 
Chosen be mindeded person jk bado anayo hadhi yake kama rais mstaafu na bado ktk ushahuri ni mtu muhimu.
 
@Obuma,
Mtumbua majipu anapaswa kutumia akili nyingi Sana..kwanza kutengeneza mfumo wake kuanzia kwenye usalama i.e jeshi!!..pia kama hatoweza kuleta tume huru ya uchaguzi basi aipangue ile..na mwisho kabisa afanye yale aliyokusudia kuyafanya kwa kujamini huku akitengeneza mahusiano mazuri na chama kimojawapo cha upinzani au vyote!!!
Mkuu mfumo kubadilika ni ngumu kubadilika ukizingatia ule usemi usemao chama kushika hatamu
 
sina kumbukumbu za kumuona mkapa akizurura na msafara kama huu baada ya uraisi aliokaa mpaka alipokuja kutuita malofa
Kuna mwana jf mmoja aliwahi kusema kuwa mzee wa msoga neno aibu halipo kichwani mwake
 
Back
Top Bottom