Kikwete akagua Mradi wa Maji!

Kikwete akagua Mradi wa Maji!

Attachments

  • 1451583295238.jpg
    1451583295238.jpg
    40.1 KB · Views: 26
Nimeangali na kufuatilia mambo nimegundua Tanzania yangu ina serekali Mbili.Moja tunaijua ambayo ni halali na nyingine inafanyia kazi mafichoni.Hii ya mafichoni muda si mrefu kama system haitaikemea inaimeza serekali halali muda si mrefu.Tuupe muda wakati.
Obuma uko sahihi yawezekana hata huu msululu wa makatibu wakuu ina mkono wake.
 
Hapo ni wami.ni haki yake jamani maji ya hapo ndio yananywesha chalinze
 
hv kipindi yupo ikulu alikuwa anajua hata kukagua miradi kweli?
jaman huyu mtu apumumzike tu kwa sababu anaongeza garama tu wakati rais anatafuta hela kwa ajili ya wanafunzi na madawa yy anatumia kwa safari kweli?
 
Back
Top Bottom