Kikwete akagua Mradi wa Maji!

Kikwete akagua Mradi wa Maji!

Ameenda kukagua kama mwaenyekita wa ccm chama change dhamana ya kuisimamia serikali iliopo madarakani
dhamana ya kuishauri na kuisimamia serikali iko mikononi mwa Bunge kikatiba na sio chama.

Kama mwenyekiti akakague miradi ya CCM serikali ni ya wa TZ sio ya chama
 
JK ashauliwe atulie, mbona yeye Mkapa hakumuingiliaga hivi? angejua kwa madudu yake tunapata kichefuchefu kumuona wala asingetokeza tokez adharani hivi
 
Toba, huyu mtu bado yupo tu? Si nasikia serikali ilimpelekea helicopter mbovu isiyo na injini ili aje nayo Dar, haijapinduka baharini?
 
Ameenda kukagua kama mwaenyekita wa ccm chama change dhamana ya kuisimamia serikali iliopo madarakani
sina kumbukumbu za kumuona mkapa akizurura na msafara kama huu baada ya uraisi aliokaa mpaka alipokuja kutuita malofa
 
Kikwete hataki kukubali Kama ashastahafu,urais mtamu,huko ameenda Kama nani?
 
Yaani kama ulikuwa kwenye akili yangu
hapana Hapana hapana kabisa, hayo maji siyo shughuli ya chama, ni ya serikali hapo wala hakuna kazi ni katika strategy yao ya kujisafisha na ni mambo ya aibu sana sana, kawaida Rais ni executive secretary wa chama na ndio msemaji mkuu maana huyu bwana bado haelewa kuwa ameshafutwa kazi by constitution, akae kwake wakimtaki watamualika kufanya kazi hiyo, walau labda kuna wachache watakaorudisha heshima yao, hapo wanonekana vituko hao ndio hao washauri wao waliowapa kazi za serikali walipoishia, ndio maana kwa style hii hii nchi iliishia kwenye mediocracy, vile vitoto vyake alivyovipa kazi kubwa eti ya branding Tanzania, wakina sijui fina mango, sijui wale Juma pinto, wako wapi leo hawana uwezo kawapa hela hakuna deliverable, matangazo kwenye magari ya london, kweli bila akili za watu, kuna watu hawana pa kutoke kabisa
 
Jk the best president ever, tutamkumbuka kwenye sekta ya elimu, miundombinu na utawals bora
 
Ukisoma comment za watu utaona ni kwa namna gani watu wanachuki na JK na hii yote ni kwa sababu ya ile shughuli ya pale dodoma goli la dakika ya tisini,, mkiendelea kumjadili JK ni kuendelea kumuongezea umaarufu na hata wale wasiojua kwanini anasakamwa watajua sasa,, endeleeni kupambana jamani jamaa yenu bado ananafasi nyingine 2020, mkiendelea kumsakama JK 2020 mambo yatawaendea kombo tena maana mtakuwa mmetumia muda mwingi kumzomea JK asiye na madhara tena na kusahau kumjenga mtu wenu...

Haya sasa pigo lingine hili tena,, JPM kateua makatibu na naibu kamishna, dah kawatupa mbali jamaa fulani kutoka sehemu fulani hivi maana tabia yao ya wizi, unafiki na tamaa ya kuigeuza tanzania nchi ya watumwa wao imeshajulikana na kila mtu anawachukia sasa,,, game bado mbichi kabisa ndio kwanza asubuhi..
 
IMG-20151230-WA0103.jpg


IMG-20151230-WA0101.jpg


IMG-20151230-WA0096.jpg

IMG-20151230-WA0102.jpg

IMG-20151230-WA0100.jpg


IMG-20151230-WA0098.jpg


IMG-20151230-WA0107.jpg
Mimi ningemuelewa kama angekuwa amekagua uwanja wa ccm Kirumba au Sheikh Amri Abeid Stadium maana hiyo ndio mali ya chama
 
Nadhani hii haikuwa rasmi....!
=======================
Hata hivyo bado naye ni mtanzania ana haki ya kufuatilia kinachondelea katika maeneo anayoweza kufika.
 
Back
Top Bottom