Ukiangalia sana aliyoyasema hayaendani na yale aliyoyaeleza Chiligati baada ya kikao, Chiligati alisema wazi kuwa CC imeona kuwa ... ICC imeshamua na Uungwana ni kulipa ....ila kwa kuwa kuna baadhi ya watanzania wenzetu wamefungua kesi mahakamani kupinga malipo haya serikali itasubiri kulipa mpaka pale kesi hiyo itakapotolewa uamuzi...." . Version ya JK ni kuwa ... ila baada ya malalamiko mengi ameemua serikali isiipe fedha Tanesco ili kuona jinsi ya kuweza kuepa au kupunguza malipo hayo! ....., hizi statement Hazina maana sawa kabisa zaidi ya kuwalisha KASA wananchi.