Kikwete ajisafisha Dowans

Katika Maisha yangu nimebahatika kushuhudia wezi wa mali za watu zaidi ya 10 kwa nyakati tofauti wakiwa wameiba mali tofauti katika mazingira tofauti. Kati ya hao hakuna hata mmoja ambaye pamoja na kukamatwa wakiwa na mali (Kidhibiti) mkononi aliyekubali na kutamka waziwazi kuwa amehusiaka kwa namna yoyote aidha kuiba mali hiyo licha ya kukamatwa nayo mkononi au kukutwa nayo eneo linalomhusu moja kwa moja mfano Chumbani kwake au nyumbani kwake.

Nadharia:
Kutoka na hicho nilichokiona na ku-exprience katika nadharia hiyo niliielewa awali sishawishiki kwa namna yoyote kuwa ntakuja kusikia muhiska wa jambo fulani linaloashiria dhuruma/uhalifu au wizi wa namna yoyote atatamka wazi wazi pasipo kupindisha maneno kuwa yeye anahusika na wizi au namna yoyote ya dhuruma. Maelezo yenye kupindapinda na yenye walakini mfano kuchelewa kutamka hilo ni dhahiri kuwa anahusika na hayupo tayari kusema isipokuwa pressure ya wananchi ndiyo inamsukuma kulopoka pasipo dhamira ya kweli kwake kuzungumzia hilo.

My Take;

Hatoweza kujitoa kwa namna yoyote kwenye hili suala la RICHMOND/DOWANS. Anahusika kwa namna moja au nyingine.
 
S basi kwa wadau walioangalia toeni comment zenu,,,,,
Ofcoz mkwere wetu ca say anyahting anytime kwani hajui lipi sawa na lipi si sawa na haogopi kudanganya thts my take from him
kwani alivyoingi a tu madarakani akatangaza kumaliza mgao wa umeme in three months time pale shida ya umememilipoibuka,akatangaza watanzania kupata vyakula kwa bei ya chini affrodable even kwa walala hoi pale njaa ilipoigubika nchi yetu tatu akatangaza kupunguza bei ya mafuta pale yalipopanda bei this happened in six months duration while gained power.....yaliyoendelea baada ya hizi habari mnayajua
HE IS NOT TRUSTWORTHY PRESIDENT tumombee Sheikh yahaya aendelee kumlinda na nguvu za kichawi...
 
anakiri kuitambua dowans kwa kuwa tumetumia umeme wao kwa miezi tisa?!!!!!!!!!!!! hivi huyu ana akili kweli

ndugu zangu huyu anatuchezea ......dowans watalipwa.......hawezi kusema malipo ya dowans yanategemea yako mikononi mwa wanasheria.....huyu jamaa ni mpuuzi sana na anatuchzea akili...........haezi kuongea kama yuko kijiweni
 
Kama kikwete anawashauri basi ni heri awafukuze ili aweze kutoa mawazo yake mwenyewe. Kama raisi wa nchi anaweza kutoa majibu kama haya ni heri angekaa kimya.

Raisi anatamka Richmond ni kampuni hewa, kama ni hivyo DOWANS ilirithi mkataba kutoka wapi? hivi DOWANS hawakuja na documents zozote walipo kuja kuzalisha umeme? na kama walikuja na documents walizipata wapi na zionyesha hao Richmond ni nani? kwanini DOWANS wasiambiwe wakatuletee hao Richmond walio warithisha mkataba kabla ya kuwalipa?.

Raisi anasema Tanesco watalipa na siyo serikali, hivi Tanesco si inamilikiwa 100% na serikali? Hivi Tanesco si wanapata mapato yake kutoka kwa raia? Tanesco ikifa leo hii itayeteseka si raia? au amesema hivyo akimaanisha wao viongozi wa serikali hawata athirika?

Sijawahi kuona raisi mbumbumbu kama huyu.
 
rais kuongea maneno ya namna hii ni mpumbafu na ujinga wa hali ya juu...asifanye watu watoto hapa na majibu yake ya hovyohovyo...kwanza nani kamuuliza mpaka anaanza kufafanua ...stupid
ujumbe murua kwa mkwere
 
Na kama amesema ni kampuni ya mfukoni amewachukulia wahusika hatua gani? Sijasikii hayo maelezo yake lakini naamini lazima ametoa hitimisho!
 
ndio maana mi nasema hivi lazima tufanye namna huyu jamaa atupishe pale hata ikitupasa kutoa sadaka kubwa potelea mbali.......

kufanya uchaguzi mwingine sio mbaya lakini huyu atupishe
 
In short Ikulu ya Tanzania hamna rais bali mtu mjinga.

Du sasa punguani wameanza, hivi ulitaka nani akakae Ikulu ataiondoa hali hii ya uchumi? Juzi mwenzako wameshikana mikono wakati wa siku ya Sheria, wanamtambua wwunasema hatuna Rais tena unatumia herufi ndogo wakati tumempa kura haya pasuka kama unauwezo weka mtu wako.
Afrika sasa hali ni mbaya kz mnataka mkaajiriwe bado vyuoni mkasomeshwe uzalendo wa JKT hamna unajiita haki kwanza basi andamana
km Tunisia au Misri hali ni ngumu acha matusi subiri 2015 simenti itakuwa sh. 5,000/=
 
Mimi nadhani amechoka kuongoza taifa hili. RAISI ambaye hawezi kutoa sulution ya tatizo ila analalamika kama siyo kiongozi kwa kutaka kuonekana hana hatia mbele ya raia ni hatari sana. Yeye kama raisi alitakiwa atoe taarifa ambayo inonyesha msimamo wa maamuzi ya serikali ni upi, kama ni kulipa basi uwe ndio msimao au kama ni kutolipa basi ijulikane au ni kusubiri maamuzi ya mwisho ya mahaka ijulikane hivyo. Hakuwa na sababu yeyote kama raisi kubwabwaja kama maharage yanayo chemka kwenye jiko la mkaa. Hii hotuba yake imemuweka kwenye wakati mgumu kuliko ilivyo kuwa mwanzo.
 
raisi ameongea vizuri lakini .............na pili intelejinsia ya machafuko arusha angefafanua who was behind it bcs amesema alipewa ripot before it happen!!!!!!!

Sitoshangaa kama alipewa report feki maana uzoefu unaonyesha wasaidizi wake wameshamwingiza kingi mara kibao.
 
Too late people, where was he b4? Kaona moto unaowashwa na raia anajisafisha. Hatumwelewi, aliunga mkono garama za umeme kupanda anajifanya ana uchungu. Tunakuja hapo ikulu kama tulivyokwisha kuazimia. Haiwezekani tuteseke namna hii wakati ninyi na familia zenu mko salama. Hatuna aman mheshimiwa, aman ipo kwenye uso, mioyo yetu hujapata kuelelewa tulicho kusudia. Kutuambia huijui Dowans wakati umetulia muda wote toka sakata lilipo anza una maana gani. Let me you guys at power, Our mindset are no longer sleeping, we are absolutely active ready for death. Let come what may coz enough is enough. Get ready and learn from Tunis and Cairo.
 
kikwete hana jipya kwenye hotuba yake.kama kawaida yake kazi yake kutetea mafisadi na wezi ktk nchi hii.
 
bibi yangu huku analalamika juu ya hii dowans........ na kikwete nae analamika kama rais na wala hatoi solution ya tatizo hana tofauti na wale majuha niwajuao.....kama anatambua richimond ni kampuni hewa na hawa dowans wamerith toka richmond kwa nini asisema tu kwa dowans hawalipwi maana ni kampuni hewa na haijulikani.............huyu amejipalia makaa mwenyewe
 
Ameona hadhi yake inashahuka kila uchwao na moja ya chanzo ni Dowans. Ok amejitahidi kujisafisha sasa sijui kama wananchi watamuelewa husussni njia aliyotumia ya kuongea kupitia sherehe za chama chake.

Kwangu mie, JK hajajisafisha hata kidogo. Pili, hoja ya kwamba ametumia jukwaa la CCM kwangu siyo tatizo, maana ni CCM ndiyo imezaa Dowans/Ufisadi nchini. Nikirejea juu ya kwanini hajajisafisha, mimi sioni alichokisema hapa. Amejaribu kuzungumza tu.. "just to speak out" something about Dowans. Lakini je, hilo hitaji letu leo hii??? Nakubaliana na aliyesema hapo juu kwamba ameazima akili kidogo, lakini ameshindwa kujiongeza ili atoe Dira kama Kiongozi wa nchi. Alitakiwa kuwa "exactly" what people want to day. Kimsingi, ndugu zangu hata asingesema, Dowans tunajua wasingelipwa, ok, fine hiyo ni step 1. Sasa leo alitakiwa aseme next few necessary steps (Deliverable actions)za kuchukuliwa na Serikali yake ili kudhoofisha ufisadi ulioshamiri nchini. Hapo mimi ningemwelewa.
 
Maneno ya kubalisha badilisha haya yanayoa hisia mbaya sana. Kama Dowans haijulikani mbona inalipwa fasta fasta???
 
Back
Top Bottom