Kikwete afanye nini Kuuokoa Urais wake?

Kikwete afanye nini Kuuokoa Urais wake?

Baadhi wanaweza kuhoji kuwa tatizo si CCM bali mijitu mipiga kura ndio tatizo.
hapa ndio utakuta tunarejea kulee kwamba asilimia 70 ya mitanzania inafuata mkumbo. mtu na akili zako utaipigia kura ccm bana!
 
Migomo ni dalili ya demokrasia na uhuru ambao ndio azma yake..ulifikiri watu hawakogoma zamani kwasababu gani kumbuke enzi zile makaburi walisindikizwa kwa polisi..uhuru ni haki yako migomo na maandamo yanaendelea duniani kote kila siku..labda ugeni wako katika demokrasia ndio tatizo.

Sawa migomo ni dalili za demokrasia....lakini kwenye mgomo maana yake kuna tatizo. Huko duniani ikitokea inapatiwa ufumbuzi au muusika akishindwa anangalau uwa anaachia ngazi ili wenye mawazo mapya waje kutafuta ufumbuzi. Vipi kuhusu JK we unaona amefanikiwa ktk ilo?
 
jinyonge nipo huru ..unafikiri upinzani ni kupinga kila kitu? after all unataka nimsupport mbowe?? na slaa??? ha ha unachekesha?

Bwa ha ha,

Umsapoti Mbowe na dr slaa ufukuzwe kazi ya "umaalim"? Moyoni kiroho kinakuuma kweli ila basi ndio hivyo tena, boko haramu hawezi kukuruhusu hata ukilia machozi ya damu?
 
Kama ambavyo moyoni wako unavyouma endelee kukonda sisi tunapeta 2010 tunapeta sijui slaa na mbowe wako watakuwa wapi? ha ha ha go on crying

Teh teh teh

Unapeta wapi wakati mahakama za kiislam somalia zimeishiwa pesa na sasa sijui mmebaki kulia lia. kadaganye vitoto vyako madrassa lakini sio hapa.
 
39. alidai kuwa atawawezesha wanawake wa kanda ya ziwa.
kilichotokea sasahivi ni vifo vya wajawazito vimeongezeka, amewawezesha katika -ve direction.
lol watu wengine bana ushabiki mbaya..lete statistics hapa vifo vya akina mama as per waziri wa afya vimepungua sasa wewe umepata wapi hizo data..leta tuzione kuanzia 2005 ..usikurupuke
 
Unadhihirisha chuki zako safi sana..ndio maana uwezo wako ni mdogo kwasababu ya udini

Bwa ha ha ha
Maalim wa madrassa na kutambua chuki au uwezo wa watu wapi na wapi? Kamalizie zile nyimbo zako za kiarabu kwanza mkuu kabla ya kuendeleza utumbo wako.
 
lol watu wengine bana ushabiki mbaya..lete statistics hapa vifo vya akina mama as per waziri wa afya vimepungua sasa wewe umepata wapi hizo data..leta tuzione kuanzia 2005 ..usikurupuke

Statistics utaweza kuzisoma kweli (kama hazijaandikwa kiarabu)?
 
Inaonyesha hujaangalia fifa ranking kabla na baada ya 2005, hujaangalia mechi ngapi za kimataifa tumeshinda? ..duh fanya homework kidogo kabla ya kuleta allegations

Duh! kwako michezo ni mpira tu..mingine je?
 
Teh teh teh

Unapeta wapi wakati mahakama za kiislam somalia zimeishiwa pesa na sasa sijui mmebaki kulia lia. kadaganye vitoto vyako madrassa lakini sio hapa.
Ala umeshabadili mada kumbe urais hamtaki tena mnataka kuendeleza madrassa? sikufahamu...go on crying with mbowe na takataka zenu hapo chadema lakini urais hampati mbuzi nyie kwa akili hizo..lol
 
Duh! kwako michezo ni mpira tu..mingine je?
Unataka uendeleze kila kitu kwa miaka minne? nyie vipi kwa resources zipi? au uchumu umewapita pembeni...fikirini kabla ya kuleta upupu hapa...step by step...
 
Ala umeshabadili mada kumbe urais hamtaki tena mnataka kuendeleza madrassa? sikufahamu...go on crying with mbowe na takataka zenu hapo chadema lakini urais hampati mbuzi nyie kwa akili hizo..lol

Ha ha ha mai mai mai mai mbavu zangu

Yaani umeongea kama ile character ya movie ya Zohan (iliyochezwa na Rob Schneider) ambayo inalilia mbuzi ......

mbavu zangu..... hah hah hah
 
Unataka uendeleze kila kitu kwa miaka minne? nyie vipi kwa resources zipi? au uchumu umewapita pembeni...fikirini kabla ya kuleta upupu hapa...step by step...

uchumu ni madrassa ya wapi tena?
 
Ha ha ha mai mai mai mai mbavu zangu

Yaani umeongea kama ile character ya movie ya Zohan (iliyochezwa na Rob Schneider) ambayo inalilia mbuzi ......

mbavu zangu..... hah hah hah
Ha ha ha
 
Anayetekeleza maagizo ya bunge ni pinda nafikiri tumshauri asimchague hyo kilaza baada ya uchaguzi

Hotuba yake ya bunge hakuwahi kusema hicho unachosema acha uwongo wa mchana

tume zimuundwa ili watu wasije kushtakiwa na serikali bila uhakika na kushindwa mahakamani pamoja na mambo tume ilikuwa inatafuta vielelezo vinavyofaa kwa ajili ya ushahidi mahakama huwezi kwenda mahakamani kama kichaa..kama unavyo suggest wewe.
Where there is HOPE there is chaos!
 
Back
Top Bottom