Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 74
Meaning?Where there is HOPE there is chaos!
Meaning?Where there is HOPE there is chaos!
ameshakupa bia ngapi leo
Atakuongezea tena zaidi kwa jinsi unavyoandika hapa leo...poleHapa nilipo nimekamata ndovu baridi kabisa na kiti moto iliyochomwa vizuri kabisa kama sina akili nzuri. Huko madrassa leo mmeshindia mahindi ya kuchoma tu.
BTW - ile character ya kwenye movie ya Zohan niliyoitaja hapo juu (iliyochezwa na Rob Schneider) inaitwa Salim - NY tax driver. Yaani unachoandika wewe leo na aliyofanya salim kama pete na kidole.
Atakuongezea tena zaidi kwa jinsi unavyoandika hapa leo...pole
Atakuongezea zaidi na zaidi baada ya hapo ..safi sana nextNikimaliza Ndovu, naenda kwenye dancing floor na ku-booom booom booom mpaka saa mbili kesho asubuhi.
On the other hand - wewe utakuwa sura ya ngapi ya alarabihilia?
tuwe wwkweli, kama tanzania haimtaki basi itaaamuliwa kwa kura... agombee tu akishinda aendelee
sioni wa kumpinga!!! especially CHADEMA!!!!
chongo ni mfalme kati ya vipofu, na kikwete ni mfalme katika wenyeviti wa vyama
Hapa nilipo nimekamata ndovu baridi kabisa na kiti moto iliyochomwa vizuri kabisa kama sina akili nzuri. Huko madrassa leo mmeshindia mahindi ya kuchoma tu.
BTW - ile character ya kwenye movie ya Zohan niliyoitaja hapo juu (iliyochezwa na Rob Schneider) inaitwa Salim - NY tax driver. Yaani unachoandika wewe leo na aliyofanya salim kama pete na kidole.
Anatakiwa awe muuza barKwa tafsiri yako kuwa raisi wa nchi lazima awe mwenyekiti wa chama cha siasa. Au sio?
Atakuongezea zaidi na zaidi baada ya hapo ..safi sana next
Anatakiwa awe muuza bar
kaka Bifu lako liwe wewe na Tumain..Don't add other people's life.
Hawa wanaoshindia embe dodo na Mahindi ya kuchoma/kupika ndio wanaowanyima usingizi wale "wanaoitwa" wameendelea...!!!
hilo ni somo jingine. Kwa ufupi ni kuwa haiitajiki watu 51 kumreplace JK.. anahitajika mmoja tu!
Ha ha ha ameshakupa na zingine kwa msg hii muonyeshe bosi wako leo..Next ni kupitia hapo madrassa kwako kesho mida ya saa tatu asubuhi nikupatie supu ya mbuzi (kama wa Salim) angalau usafishe tumbo maana mahindi ya kuchoma kila siku sio mazuri kwa afya yako.
ha ha ha ulafi ulafi dezo dezo...good go on crying mpe ma-hope mbowe wako kwamba amekaribia kupata urais..utapata na zaidi hayo mabucha ..Sio bar tu, bali awe na maduka (mabucha) kama manne hivi ya nguruwe
Ha ha ha ameshakupa na zingine kwa msg hii muonyeshe bosi wako leo..
ha ha ha ulafi ulafi dezo dezo...good go on crying mpe ma-hope mbowe wako kwamba amekaribia kupata urais..utapata na zaidi hayo mabucha ..
Go on crying nextKama ulikuwepo vile, sio mabucha tu, litaanzishwa zizi kubwa (au ranch ukipenda) sana la vitimoto pale temeke na lingine bagamoyo.