MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,586
Kuna umuhimu wa kubadili mwezi na tarehe za uchhaguzi ili siku nyingine kampeni zisiangukie wakati wa mwezi huu mtukufu. Maana si mchezo kazi hii itamlia nguvu zake nyingi tu saas kama tayari zimeshaliwa na swaumu sijui tutegemee nini- tusijepoteza mtu bure.