GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

Ndugu Wana CCM,

Poleni sana,

Ninashauri Huyu Mheshimiwa Afanyiwe uchunguzi zaidi kuhusu Afya yake,hii ni hatari siku nyingine ataanguka hata akihutubia huko majuu kwenye safari zake,
Na pengine akiwa kwenye mikutano ya hadhara awekewe kiti akae,

Elisante Yona
 
......ishu sio kwamba wasanii wanakikubali CHAMA ..... JK ameshaongea na don wa wasanii ..CLOUDS ...hakuna msaniii ambaye CCM itamtaka akatumbuize imkose....wanawalipa vizuri...na wanawapa deal nyingine ie malaria no more!!!

...siku wakipanda chadema au CUF ....kama kuna msanii atakayedhubutu kupanda basi ni wale ambao ....wameshajitoa muhanga......kama kina mkoloni,john walker,etc ambao hawapo kwenye ufalme wa ruge na kusaga!!

kwa kifupi njaa na uoga vinawasumbua
 
Kwenye GlobalPublishers wamemnukuu Sheikh Yahya akisema hizo ni dalili za ushindi mkubwa kwa JK. Tutarajie mengi zaidi?
 
Na kifafa kinasababiswa na nini.
Kifafa (epilepsy) ni hali ambayo inasababishwa na matatizo katika utendaji kazi wa ubongo. Kwa maelezo zaidi tena katika lay language some hapa chini (Definition of Epilepsy)

It's a congenital disease (ugonjwa wa kurithi)

Hapana mkuu. Siyo lazima kifafa kiwe cha kurithi. Hebu soma hayo maelezo halafu uone kama uko sahihi. Unaweza kupata mengi zaidi kwa kusearch "epilepsy" kwenye google.com.
 
CCM lichama LIKUUUBWA na kongwe kabisa lenye hazina kuubwa ya viongozi linamng'ang'ania JK mgonjwa hadi nini kitokee? Niwezesheni niende mahakamani nianze mchakato wa kumuondoa JK madarakani kwa mujibu wa KATIBA yetu ya JMT.
 
mz6.jpg


Jamaa Mgonjwa check hizo njemba Mbili zinahakikisha akianguka wanamdaka haraka haraka! Mzee Gharibu naye anaonekana kama mchoma mkaa wa Mwanelumango! Mwaka huu balaa
 
kwenye hii picha kiatu cha jk kama safety boot za Barrick!!!
 
halafu huyu mgombea mwenza nae hajui kuongea. halafu afya yake inatia mashaka sana

hawa wote hamna kitu. AISEEEEEE! mara chini!!
 
CCM lichama LIKUUUBWA na kongwe kabisa lenye hazina kuubwa ya viongozi linamng'ang'ania JK mgonjwa hadi nini kitokee? Niwezesheni niende mahakamani nianze mchakato wa kumuondoa JK madarakani kwa mujibu wa KATIBA yetu ya JMT.
Ongea na Mtikila nasikia anajipanga kwenda mahakamani kudai mahakama imuombe kupumzika hawezi kuendelea na madaraka kwa sababu ya ugonjwa.
 
mz6.jpg


Jamaa Mgonjwa check hizo njemba Mbili zinahakikisha akianguka wanamdaka haraka haraka! Mzee Gharibu naye anaonekana kama mchoma mkaa wa Mwanelumango! Mwaka huu balaa


Kwa kuangalia kwa macho ya kawaida jamaa yuko weak, tena very weak; that smile is calculated; Oh My! can somebody be bold enough to force him to take a rest? at least for a week; hakuna mtu anataka ku-compete na physical weakling [for lack of a better word]; am sure Dr Slaa is not enjoying this
 
anadunda na kifafa chake!

Ha ha mkuu, ingekuwa wapiga kura wanaambilika tungempumzisha kiulaini, thorugh votes hapo october!! Tatizo ni kwamba, wazalendo wengi wenye kuelewa mambo hawapigi kura!! Je hali yake kiafya inaweza kutumiwa kama kigezo na kitumike kwenye kampeni za wapinzani? Naamini ingekuwa ni mgombea wa upinzani ameangauka basi ssm wangetumia hicho kama kigezo!! Au vipi wakuu??
 
Back
Top Bottom