GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

Sidhani kuna jambo la kushangaza kwa mtu kuwa na low blood sugar - hasa saa kumi mchana baada ya kufunga toka saa kumi na moja asubuhi. Blood sugar yake inasemekana ilikuwa 70mg/dL - kwa kawaida starving blood sugar ni 90 to 110 mg/dL - hii ni blood sugar level ya asubuhi kabla ya kula chochote na kwa mtu mwenye afya ya kawaida aliyekula chakula cha kawaida masaa 10 to 12 kabla ya kupima. Sasa huyu Rais alikuwa amefunga; kalala masaa mawili tu na kafanya kazi zaidi ya masaa 12 kabla ya tukio hili. It is obvious kuwa alikuwa very stressed. Kwa wale wanaofahamu matatizo ya kisukari wata conclude kuwa afya yake ni nzuri sana. Hasa ukizingatia kuwa aliweza kurejea jukwaani baada ya kupata glucose baada ya dakika 15 tu.

Kuwa na incidence moja ya low blood sugar sio lazima mtu ni diabetic hasa ukiangalia mazingara yenyewe kama haya ya kufunga. Hata kama ni diabetic sidhani huu ni ugonjwa ambao unaweza kumfanya mtu ashindewe kazi. Kuna mamilioni ya watu huku duniani wenye more serious diabetic condition na wana ishi maisha normal kabisa. Diabetes is a condition and the sugar level can be very easily conmtrolled through dieting and medication.

Kwa hiyo let take this incidence in its own perspective - we should avoid reading too mmuch into it. Kama kila mtu mwenye low au high blood sugar atatakiwa kujiuzulu basi nearly 80% ya senior civil servants itabidi wajiuzulu - wengine infact wana in addition more serious problems.


Pumba tupu! hatudanganyiki ...raisi ana kifafa!
 
.

Jamani msiingilie fani za mwenzenu hapa jamvini. you can't be a master of everything......acha kutoa hisia zako kwa maelezo ambayo yanakinzana na sayansi ya tiba.Binafsi ni daktari wa binadamu na naamini kuna madaktari wenzangu humu tusaidiane. Mgongwa wa kifafa huanguka ghafla, anatupatupa miguu na anatoka mapovu mdomoni baada ya tukio hilo lakini pia anakuwa kama kakamaa hata anapobebwa anaonekana kama hakunjiki. Mgonjwa anapokosa nguvu na kushuka taratibu chini bila kuanguka ghafla katika tiba inahusiana na uchovu wa mwili na akili kutokana na kutoupumzisha mwili baada ya kazi nyingi .

Kama hii ndio knowledge ya daktari wa kibongo, shughuli ipo
 
kikwete atashinda na anafaa kuwa president, uozo wote uliofanyika miaka 20 iliyopita msitake kutwambia yeye ataumaliza within 5yrs, acheni unafiki-semeni ukweli mangapi kashughulikia.Na huyo slaa wenu hawezi kitu-maana yeye ndo fisadi-kurudisha form tu karudisha na magari-hao wnaomdhamini unadhani atawalipa nini? Mtauziwa mbuzi kwenye gunia, heri ya hawa tunawafahamu. Shangilai kafanya nini? Hamana kitu. Tukimaliza kupiga kura akaapishwa,maana nina uhakika atashinda, nitaweka makala hapa kwa nini amechaguliwa tena na wananchi.Ebo!!!

Duh! From another great sinker!
 
JK Rais kipenzi cha watu, ametenda mambo mengi katika miaka mitano iliyopita, kupambana na rushwa na ufisadi ni mengi kati ya mengi, ujenzi wa shule za sekondari,vyuo vikuu, barabara za lami, changarawe, ameimarisha demokrasia, utawala bora ndo usiseme, uhuru wakuabudu, kuandika na kutoa habari, wasanii na michezo,kaboresha na amejipanga kutoa ajira zaidi ya awali, chagua JK kwa maisha bora na maendeleo ya Taifa. Chagua CCM. Pamoja twasonga mbele.....

Another lost puppy on street!
 
watanzania na unafiki ndiyo maana hatuna maendeleo sasa hii video ina kitu gani cha ajabu mpaka watu wengine wanaitoa kulinda heshima sijui nini upumbavu nothing graphic at all

Hii picha inahusiana vipi na maendeleo?
 
Kipepeo

Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join DateTue Feb 2008
Posts13
Thanks : 0
Thanked 4 Times in 3 Posts
Rep Power0
Kiongozi mmoja wa CCM pale Lumumba leo asubuhi walikuwa na kikao anasema Rais ashauriwe kupumzika usiku. Kwa maelezo yake ni kuwa Rais amejipangia ratiba ngumu kibinadamu, kwamba mchana atakuwa anatembelea na kuwafuata wananchi mahali walipo na kutatua matatizo yao moja kwa moja na usiku atarudi kufanya kazi zote za mezani ofisini kwake za kutwa nzima. Ratiba hii inasemekana imeleta mvutano huko Makao makuu ya CCM na Ikulu baada ya tukio la jana na yaliyotangulia, wanasema inamfanya rais kulala muda mfupi sana.

Yapo madai kuwa ratiba ya kutolala vya kutosha usiku kajipangia mwenyewe kwa maelezo kuwa anajisikia vibaya kulala muda mrefu wakati wananchi wana shida nyingi.Usiku wa kwenda Jangwani alilala saa 8.30 usiku baada ya kumaliza kazi na saa 11 alfajiri akaamka kwa swala ya Waislamu hivyo alilala masaa 2.30 tu. Kama hii ndio ratiba ya Rais basi kuishiwa nguvu jukwaani sio jambo la ajabu. Wananchi tushiriki kumshauri Rais apumzike.

Mkuu Kipepeo, nimekusoma sana kwa post zako, lakini you are assuming unaongea na watoto wa chekechea.


Hizo info ulizo nazo ni semi classified na kwa wewe kizipata toka CCM na ratiba ya Rais Ikulu you are giving yourself away.Dis information lazima ifanyike kwa akili zaidi kuliko hivi Mkuu.
Vile vile kwa post hii, then JK is his own worst enemy, kitu ambacho si rahisi kueleweka wala kuaminika.
You guys should get yourselves out of this CAGE OF LIES , SEMENI UKWELI TU WaTanzania ni waelewa na watamhurumia tu JK.
 
They are protecting him from bullet kwa kumvalisha bullet proof. Kwan nchi peaceful Tanzania probability ya hii kutokea ni ngapi? Yet they are not protecting our president from the obvious low blood sugar . Probability of the later threat/attack happening is even bigger na mbaya zaid anashambuliwa na adui mbele ya umma wa watanzania.

Wanatumia Effort na resources nyingi kuwalind aviongozi na threat ambazo probability yake kutokea ni ndogo.

Wanatakiwa wajue Tanzania is a peaceful country matatizo makubwa tuliyo nayo ni Afya (Mradhi) ,Elimu( ujinga na umasikini)

Excuse za mfungo na ugonjwa na nyinginezo wanazota ni majibu mepesi mepsi kwa mambo mazito .Watu wa Usalama wa taifa na Ikulu wamekuwa exposed of their weakness. Wamemuaibisha rais wetu na kutuabisha watanzania

Mbona hata kabla hajapatwa na maswahibu tayari kama kungekuwa na watu wanamjua rais wetu vizuri wangeshtuka na kuwai japo asidondoke. Pale alivyosema Aisee sekunde chache zilizofuata alianza kuongea maneno bila mpangilio na kurudia rudia.

Sasa sijui Kwenye Risk/ threat analysis kw Rais wetu sijui zipi imekuwa classified kama critical

Kuna maswali mengi
  • Kati ya rais na system nani mwenye control na say ya mwisho ( Kwa nn system irushu ajitume kuliko uwezo wa afya yake)
  • Je JK anajali mfungo Kuliko Afya yake
  • Je Zaidi ya Physical protective measures kuna walinzi watalaam wengine kwenye msafara wa rais
 
hakuna cha u-KGB wala nini, video ilikuwa mtandao mmoja tu, YOU TUBE, wengine wana link tu, aliyeiweka kashaona dili kaiondoa, simple as that

Dili kutoka wapi? ni CCM wameinunua? Mbona kuna Shujaa alieirudisha! Ikiwa aliiondoa kwa ridhaa yake, ni kwa nini aliiweka kabla ya kufikiri? Na ikiwa alitakiwa aiondoe ndio waleee akina KGB waliomwamuru afanye vile. Naanini itaendelea kubaki ituthibitishie kuwa Tunathubutu kuongea wazi bila hofu, wasiwasi au woga!
 
.

Jamani msiingilie fani za mwenzenu hapa jamvini. you can't be a master of everything......acha kutoa hisia zako kwa maelezo ambayo yanakinzana na sayansi ya tiba.Binafsi ni daktari wa binadamu na naamini kuna madaktari wenzangu humu tusaidiane. Mgongwa wa kifafa huanguka ghafla, anatupatupa miguu na anatoka mapovu mdomoni baada ya tukio hilo lakini pia anakuwa kama kakamaa hata anapobebwa anaonekana kama hakunjiki. Mgonjwa anapokosa nguvu na kushuka taratibu chini bila kuanguka ghafla katika tiba inahusiana na uchovu wa mwili na akili kutokana na kutoupumzisha mwili baada ya kazi nyingi .

Haya wewe mwenzetu daktari... basi tuache ya kifafa..

Je;kwa mtu ambaye anazidiwa na kazi na kuchoka kiasi cha kuanguka, anguka kwenye public bado tutamwita mzima???? If your body can not tolerate 15km race will you be declared fit for the race?? if the answer is no, then dont you think huyu jamaa ni unfit for the race?

Je unakumbuka kuna watu wanaitwa spana mkononi??? yeye hafai kuwa spana mkononi??? na mtu spana mkononi si huwa na yeye tunamwita mgonjwa au???

Tuje kwenye fani hiyo ya udaktari, naomba ukatae au ukubali, do you think wale watanzania wawili wanamuangalia afya yake wanafanya vitu ethical?? mbona yanazunguka mengi tu, si bora wakae kimya kiliko kusema raisi yuko fit na tulipima hiki?? kwani kiapo cha udaktari kinasemaje??? kama anakaidi, si bora waachie ngazi with honours kuliko kuharibu fani, unataka tuletewe wachina sio kama ya ulinzi wa mugabe?

SWALI LA MWISHO, WEWE KAMA DAKTARI... RAIS WAKO NI MGONJWA AU HAPANA??
 
Pengine swaumu au?
Acheni unafiki. Ni wazi kuwa huyu jamaa ni mgonjwa na hafai kuwa Rais kwa sababu hiyo. Jamaa amekuwa akianguka mara kwa mara HADHARANI. Bila shaka anaanguka pia in private ijapokuwa wanaficha hiyo. Tatizo ni kuwa CCM ikifanya kosa basi haijui namna ya kulisahihisha bali inaling'ang'ania tu na kudai kuwa mamboa sivyo yalivyo.
 
Haya wewe mwenzetu daktari... basi tuache ya kifafa..

Je;kwa mtu ambaye anazidiwa na kazi na kuchoka kiasi cha kuanguka, anguka kwenye public bado tutamwita mzima???? If your body can not tolerate 15km race will you be declared fit for the race?? if the answer is no, then dont you think huyu jamaa ni unfit for the race?

Je unakumbuka kuna watu wanaitwa spana mkononi??? yeye hafai kuwa spana mkononi??? na mtu spana mkononi si huwa na yeye tunamwita mgonjwa au???

Tuje kwenye fani hiyo ya udaktari, naomba ukatae au ukubali, do you think wale watanzania wawili wanamuangalia afya yake wanafanya vitu ethical?? mbona yanazunguka mengi tu, si bora wakae kimya kiliko kusema raisi yuko fit na tulipima hiki?? kwani kiapo cha udaktari kinasemaje??? kama anakaidi, si bora waachie ngazi with honours kuliko kuharibu fani, unataka tuletewe wachina sio kama ya ulinzi wa mugabe?

SWALI LA MWISHO, WEWE KAMA DAKTARI... RAIS WAKO NI MGONJWA AU HAPANA??

Fani imeingiliwa hii!
 
Haya wewe mwenzetu daktari... basi tuache ya kifafa..

Je;kwa mtu ambaye anazidiwa na kazi na kuchoka kiasi cha kuanguka, anguka kwenye public bado tutamwita mzima???? If your body can not tolerate 15km race will you be declared fit for the race?? if the answer is no, then dont you think huyu jamaa ni unfit for the race?

Je unakumbuka kuna watu wanaitwa spana mkononi??? yeye hafai kuwa spana mkononi??? na mtu spana mkononi si huwa na yeye tunamwita mgonjwa au???

Tuje kwenye fani hiyo ya udaktari, naomba ukatae au ukubali, do you think wale watanzania wawili wanamuangalia afya yake wanafanya vitu ethical?? mbona yanazunguka mengi tu, si bora wakae kimya kiliko kusema raisi yuko fit na tulipima hiki?? kwani kiapo cha udaktari kinasemaje??? kama anakaidi, si bora waachie ngazi with honours kuliko kuharibu fani, unataka tuletewe wachina sio kama ya ulinzi wa mugabe?

SWALI LA MWISHO, WEWE KAMA DAKTARI... RAIS WAKO NI MGONJWA AU HAPANA??

alishasemaga alipoanguka mwanza kuwa rais hana ukimwi na hana tatizo la akili yuko safi...hatakuja na jipya...we jitu zima la umri ule eti limeishiwa glucose ...this is a serious joke
 
kikwete atashinda na anafaa kuwa president, uozo wote uliofanyika miaka 20 iliyopita msitake kutwambia yeye ataumaliza within 5yrs, acheni unafiki-semeni ukweli mangapi kashughulikia.Na huyo slaa wenu hawezi kitu-maana yeye ndo fisadi-kurudisha form tu karudisha na magari-hao wnaomdhamini unadhani atawalipa nini? Mtauziwa mbuzi kwenye gunia, heri ya hawa tunawafahamu. Shangilai kafanya nini? Hamana kitu. Tukimaliza kupiga kura akaapishwa,maana nina uhakika atashinda, nitaweka makala hapa kwa nini amechaguliwa tena na wananchi.Ebo!!!

I like sniffers for one thing, they know their duty very well-sniffing!!
 
Mwaka huu mtasikia mengi
Anayedaiwa mganga wa kienyeji O(mwenye joho) aliyekuwa mkutanoni akiwa chini ya ulinzi wa polisi - Source Global Publishers
View attachment 12756

Kwenye misafara yote ya Kikwete lazima kuna waganga wa kienyeji! Mkulu anawahusudu sana hao ndo maana madaktari wake hawasikilizi

Ina maana madogo walikamata mmoja wa wajumbe wa msafara wa Muungwana?
 
Mwaka huu mtasikia mengi
Anayedaiwa mganga wa kienyeji O(mwenye joho) aliyekuwa mkutanoni akiwa chini ya ulinzi wa polisi - Source Global Publishers
View attachment 12756

Jamaa wa Mang'ula wanamjua mganga wa Kikwete anaitwa Kalembwana, jana alikuwa naye pale amevaa suti na tunguli zake!

Kudadeki, ina maana baada ya tukio la jana la 'maroboti kugongana' bado Mheshimiwa Kalembwana yupo kazini?
 
Kudadeki, ina maana baada ya tukio la jana la 'maroboti kugongana' bado Mheshimiwa Kalembwana yupo kazini?

Usicheze na Kalembwana aisee! Mkulu amemnunulia nyumba mjini Dar na amempa usafir wa nguvu! Safari zote za mkulu Kalembwana yumo kwenye msafala. Jamaa anaingia ikulu bila appointment
 
Back
Top Bottom