wakuu sidhani kama kuna lolote la maana tutaambiwa. Aliyosema kinana sote tunajua kuwa ni uongo, waliyosema kuhusu EPA tulijua kuwa ni uongo mpaka walipo back off. Mkapa alipigwa na Mama Anna akasingingia ni ugonjwa kawaida, there are people who are bunch of liars, lakini sijui ni kwa faida ya nani.
I find stupid, the idea of doctor-patient confidentiality. Especially when the patient is the President. Who cares if masanjas heath status is a secret between him and mganga wa kienyeji? who cares if the health of kapuku and doctor someone is confidential matter? Kamahawa jamaa hawatuhusu au hawana lolote linalohusiana na interest zetu za moja kwa moja afya zao zinaweza kuwa siri yao kati yao na Daktari.
JK ni rais wetu afya yake tunastahili tuijue. Mimi simfagilii Kikwete, lakini ni rais wangu. Siku akifa ntakuwa na haki ya kutaka kujua nini kimemua rais wangu, hata kama nikijua kuna mtu amemuua rais wangu i have a right to fight. Mtu anapokuwa public figure na awe amepewa au hata kama amenunua dhamana ya kuongoza nchi, it is our business. In that case argument kuwa afya yake ni siri kati yake nia daktari wake ni upuuzi kabisa.
We make same mistakes everyday. Kwanza daktari wake anatakiwa kuadhibiwa, yeye yuko responsible moja kwa moja na kulitia taifa aibu. Na kama ndio huyo huyo aliye supervise kuangauka kwa JK mara ya kwanza anasathili kuadhibiwa kwa kuficha siri ambayo gharama yake ni kututia aibu na kuhatarisha usalama wa taifa. At least angempa hata kiti.
Kama kuna mtu ana kazi ya kuwawajibisha madaktari hao hajafanya hivyo naye anatakiwa awajibishwe na kuadhibiwa pia. Damn, this country sucks.