GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

GE2010 Kikwete aanguka ghafla Jangwani...!

Haya wewe mwenzetu daktari... basi tuache ya kifafa..

Je;kwa mtu ambaye anazidiwa na kazi na kuchoka kiasi cha kuanguka, anguka kwenye public bado tutamwita mzima???? If your body can not tolerate 15km race will you be declared fit for the race?? if the answer is no, then dont you think huyu jamaa ni unfit for the race?

Je unakumbuka kuna watu wanaitwa spana mkononi??? yeye hafai kuwa spana mkononi??? na mtu spana mkononi si huwa na yeye tunamwita mgonjwa au???

Tuje kwenye fani hiyo ya udaktari, naomba ukatae au ukubali, do you think wale watanzania wawili wanamuangalia afya yake wanafanya vitu ethical?? mbona yanazunguka mengi tu, si bora wakae kimya kiliko kusema raisi yuko fit na tulipima hiki?? kwani kiapo cha udaktari kinasemaje??? kama anakaidi, si bora waachie ngazi with honours kuliko kuharibu fani, unataka tuletewe wachina sio kama ya ulinzi wa mugabe?

SWALI LA MWISHO, WEWE KAMA DAKTARI... RAIS WAKO NI MGONJWA AU HAPANA??

alishasemaga alipoanguka mwanza kuwa rais hana ukimwi na hana tatizo la akili yuko safi...hatakuja na jipya...we jitu zima la umri ule eti limeishiwa glucose ...this is a serious joke

url


url





 
Usicheze na Kalembwana aisee! Mkulu amemnunulia nyumba mjini Dar na amempa usafir wa nguvu! Safari zote za mkulu Kalembwana yumo kwenye msafala. Jamaa anaingia ikulu bila appointment

Aiseeeee this is more than serious Mkuu. Una picha yake? Mheshimiwa Kalembwana ni Bwana ama Bibi?
 
Usicheze na Kalembwana aisee! Mkulu amemnunulia nyumba mjini Dar na amempa usafir wa nguvu! Safari zote za mkulu Kalembwana yumo kwenye msafala. Jamaa anaingia ikulu bila appointment
Kuna tetesi kuwa hata Zuma aliunganishwa kwa mganga wa Muungwana, Je ni kweli? Kama anacheza mchezo huu ina maana kila anapofika mahali ambapo kuna nguvu zaidi ya ile inayomshikilia lazima atalamba vumbi maana network inapotea. Kama ni kweli anatafuta supernatural powers si atafute basi ile HALISI?
 
Mchungaji ..unafika mbali sana, kuhusu afya ya mtu ni siri ya mtu mwenyewe, and its unethical kuelezea mambo afya inalomsibu mtu mwingine.. mimi ni mtaalamu wa afya lakini hapo umefika mbali sana... nafikiri watu kama nyie katika kuropokaropoa kwa mambo msiyo yajua mnatambulikana kama wahaini na ni kwa sabaubu tu ya nchi yetu ni ya amani, lakini mtu kama wewe ungetakiwa uwe somewhere ujileze vizuri nani kakupa mamlaka hayo na pia unawesemea wa kinani


Uchaguzi mwingine unata i cost nchi ,nchi yetu maskini ikitokea ameshinda kwa wizi wa kura maana kushinda kihalali hawezi.
 
.

Jamani msiingilie fani za mwenzenu hapa jamvini. you can't be a master of everything......acha kutoa hisia zako kwa maelezo ambayo yanakinzana na sayansi ya tiba.Binafsi ni daktari wa binadamu na naamini kuna madaktari wenzangu humu tusaidiane. Mgongwa wa kifafa huanguka ghafla, anatupatupa miguu na anatoka mapovu mdomoni baada ya tukio hilo lakini pia anakuwa kama kakamaa hata anapobebwa anaonekana kama hakunjiki. Mgonjwa anapokosa nguvu na kushuka taratibu chini bila kuanguka ghafla katika tiba inahusiana na uchovu wa mwili na akili kutokana na kutoupumzisha mwili baada ya kazi nyingi .
Mwanajamii one nimekaa nikafikiria ulichoandika hapa imenilazimu nirudi kukujibu tena, hivi wewe mwanajamii one hii ni nadharia ya kusoma vitabuni tu au umewahi kuona mgonjwa ukiwa kama daktari? Ingekuwa hivyo basi wagonjwa kifafa wote wangekuwa walemavu na wenye makovu kichwani kutokana na kujibamiza kichwa wanapoanguka ghafla kama ulivyosema.
Ukweli ni kuwa wagonjwa wa kifafa hasa cha muda mrefu kama watu wazima huwa wanajua hiyo hali inapowatokea, huweza hata kuomba mkeka walale, au utaona anaondoka karibu na kitu cha hatari kama moto. Sasa kama hujataka kukubali matokeo kama alivyowahi kuomba kiti mwanza ukabaki kubishana kichwani mwako ukitaka kujikaza ndio mwili huanza kunyong'onyea hatimaye kuanguka. Alafu unasema huwa wanarusha miguu, na kutoa povu, tungeona miguu wapi wakati kamera zilihamishwa? tungeonaje povu wakati alizungukwa na TIS? Unajua kuna wagonjwa kifafa wengine huwaweza kuachia hata mkojo? na ukiona huyo utasema wote lazima wakojoe? Hujawa mkweli hapa ingawa hatu rule kuwa atakuwa na kifafa, lakini katika fani yako ulitakiwa uwe na list of possible diagnosis na zidhani katika hatua ya awali kama hii unaweza ku-rule out kifafa.

YouTube - Jk aanguka jangwani 2010
 
Taarifa ya CCM iliyosomwa na Kinana wanadai alipungukiwa sukari kutokana na kufunga .

Sourcehttp://www.haki-hakingowi.blogspot.com/
 
Inanisikitisha sana na kuhuzunika nikiwaona watanzania kwa maelfu wakifurika kwenye mikutano ya Kikwete! naomba wajiulize huyo kikwete binafsi kwanza kayaboresha vip maisha yao? je nchi iko bora kuliko alivyo ikuta? Matatizo yote ya uchumi, ujambazi wizi wa fedha ya umma, mabomu ya Mbagala,safari zake za nje kila mara zisizokuwa na sababu na umaskini wa watanzania bado huyapi watanzania sababu za kutomchagua Kikwete? Basi watanzania wana matatizo ya kisaikolojia au ni wapumbavu! Come on these fools can`t be serious...
 
Kwa hali hii ya rais kuanguka kuna haja ya kuangalia options kama akishindwa kuendela na kampeni....je, Bilal atachukua nafasi yake? (kama katiba ya chama inavyosema(?). Na kama ndivyo, yeye Bilal ataiweza kua chaguo la CCM kuongoza nchi? Na kama kikwete akishindwa kuendela kuongoza baada ya kuwa rais, je Bilal (kama ilivyokua kwa jonathan huko Nigeria) atafaa kuongoza nchi? kuna haja ya kumjadili naona...
 
kama safari iliyopita alifunga akaanguka jukwaani kwa nini anendelea kufunga wakati anajua udhaifu wake?
kwani viongozi wengine waislam wanaofanya kampeni huwa hawafungi?
mtu mwenye afya nzuri hawezi kudondoshwa na saumu...wakulima mbona wanafunga na kwenda shamba kama kawaida, tunategemea rais awe na afya nzuri kuliko wao
 
Hivi watanzania wenzangu Mwalimu aliposema Ikulu ni mzigo mlidhani masihara? Ikulu issue nyingine.

Hawa wagombea urais pamoja na rais mwenyewe wanahitaji kuwekwa 'kitchen party like' kwamba unapokamata yale madaraka, ratiba zako haziko mikononi mwako tena bali mikononi mwa watu. Na hii ni kwa kuwa unapokuwa rais unageuka kuwa taasisi na si mtu binafsi tena. Ikitokea kiongozi hawezi hilo, uwepo utaratibu wa kuweza kumuondoa kwa usalama wake na wa nchi pia.
 
Du !

Haya kumekucha huko Jangwani mwenye news zaidi atujulishe hii ni kwa mujibu wa TBC ndo naangalia hapa, Rais Kikwete kadondoka live akihutubia.

2yz9yxh.jpg

Rais Jakaya Kikwete akiwa amebebwa na walinzi pamoja na wasaidizi wakati alipoanguka Jukwaani Jangwani

5yhkip.jpg

Masononeko na vilio mara baada ya Rais Kikwete kuanguka (photo: PwaniRaha.com)

VIDEO:
SEHEMU YA KWANZA



SEHEMU YA PILI



Wakuu kuna maswali mawili nimekuwa najiuliza kuhusu hizi picha. I hope kuna wengi wenye uwezo wa kusoma picha pixel by pixel.

1. Hawa jamaa waliovaa kiduanzi wote ni maofia wa usalama wa taifa, au ni presidential guard unit. Are they for real? mbona sura zao zinaonekana kama ni watu walio hoi. I beleieve nikienda mwanza au tabora na kutafuta watu 10 naweza kupata watu wa maana kabisa ambo physically wanaweza kufit pale. Kwani mavazi yao ni kama yale ya makatibu tarafa wa CCM miaka ya 70, is it a rquirement to dress like that? Kama kweli ni maofisa wa idara nyeti tunahitaji kuwa dress up hawa watu ni muhimu sana kwa taifa letu, they deserve a big more respect tuwapatie heshima yao kiasi.

2. Swali la pili is even more interesting. Picha ya pili hao wanawake wanajua kweli what kind of President is JK, are they crying for real are they sad for real or they are just faking tears to make them look like they are die hard CCMans. kuna huyo mama on the left does she really know what she is doing, au amelipwa kufanya hivyo.
 
Last edited by a moderator:
Pole mkulu lakini hadi anaanguka hakuwahi kujisikia vibaya jamani? mfano kuishiwa nguvu hivi ili awahi kuketi chini? Nadhani niswaumu pamoja na kuzungumza kwa muda mrefu akiwa amesimama. Nadhani ni hali ya kawaida tu kwa mtu yeyote yawezamtokea.
 
fide1975
user-online.png
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join Date Sat Jul 2007
Posts 2
Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0 Posts

Inanisikitisha sana na kuhuzunika nikiwaona watanzania kwa maelfu wakifurika kwenye mikutano ya Kikwete! naomba wajiulize huyo kikwete binafsi kwanza kayaboresha vip maisha yao? je nchi iko bora kuliko alivyo ikuta? Matatizo yote ya uchumi, ujambazi wizi wa fedha ya umma, mabomu ya Mbagala,safari zake za nje kila mara zisizokuwa na sababu na umaskini wa watanzania bado huyapi watanzania sababu za kutomchagua Kikwete? Basi watanzania wana matatizo ya kisaikolojia au ni wapumbavu! Come on these fools can`t be serious...
Aiseeeee............I can't beleive my aize hii ni post ya pili zaidi ya miaka mitatu, lakini karibu bwana tunajadili rais wetu nasikia na kifafa.
 
Mwanajamii one nimekaa nikafikiria ulichoandika hapa imenilazimu nirudi kukujibu tena, hivi wewe mwanajamii one hii ni nadharia ya kusoma vitabuni tu au umewahi kuona mgonjwa ukiwa kama daktari? Ingekuwa hivyo basi wagonjwa kifafa wote wangekuwa walemavu na wenye makovu kichwani kutokana na kujibamiza kichwa wanapoanguka ghafla kama ulivyosema.
Ukweli ni kuwa wagonjwa wa kifafa hasa cha muda mrefu kama watu wazima huwa wanajua hiyo hali inapowatokea, huweza hata kuomba mkeka walale, au utaona anaondoka karibu na kitu cha hatari kama moto. Sasa kama hujataka kukubali matokeo kama alivyowahi kuomba kiti mwanza ukabaki kubishana kichwani mwako ukitaka kujikaza ndio mwili huanza kunyong'onyea hatimaye kuanguka. Alafu unasema huwa wanarusha miguu, na kutoa povu, tungeona miguu wapi wakati kamera zilihamishwa? tungeonaje povu wakati alizungukwa na TIS? Unajua kuna wagonjwa kifafa wengine huwaweza kuachia hata mkojo? na ukiona huyo utasema wote lazima wakojoe? Hujawa mkweli hapa ingawa hatu rule kuwa atakuwa na kifafa, lakini katika fani yako ulitakiwa uwe na list of possible diagnosis na zidhani katika hatua ya awali kama hii unaweza ku-rule out kifafa.

YouTube - Jk aanguka jangwani 2010
MBOGELA.......... HEBU REJEA JINA LA ALIYEANDIKA POST ULIYOIJIBU HAPA. MIMI MWANAJAMIIONE SIJAANDIKA LOLOTE WALA SIJUI LOLOTE ULILOANDIKA HAPA.


Rekebisha fasta kabla sijakusue!! Hahahah
 
Maria Roza kwa nini ufanya hivyo? hebu irudishe nasi uone, usiwe mbinafsi kama mafisadi!
 
Back
Top Bottom