KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Huu ni mwaka wa tatu, huwa namsikia akikohoa live redioni.Anayebisha amsikilize leo kama hata kohoa, nitamtumia vocha za 50 alfu kwa pm.
Zamani tulikua tunachemsha misonobali na kunywa juice yake,,ni tiba tosha kwa vikohozi sugu. Namshauri atumie.
Zamani tulikua tunachemsha misonobali na kunywa juice yake,,ni tiba tosha kwa vikohozi sugu. Namshauri atumie.