Haaahaaahaaa!!Ndugai hawezi kujihuzulu atafanya kazi gani?
ulikuwa na bwana msukuma akakuacha ndiyo maana kila post unayoona unamkumbuka bwana wako wa zamaniMagufuli alikuwa akikaa chato,wageni wote wa kitaifa na kimataifa alikuwa anawapokelea chato, au kwakuwa msukuma mwenzenu ndiomaana mlikuwa mnasifia tu kila kitu?! Mara ya mwisho nakumbuka Rais wa Kenya alienda chato akapewa na zawadi ya ndege wale Tausi
Yupo kimya hana hata aibuHaaahaaahaaa!!
Hizo taarifa za kujiuzulu nafasi zote ni uongo!. Kama ni kujiuzulu ni kujiuzulu uspika tuu, ubunge na ujumbe wa CC unaendelwa hadi kuitishwe kikao cha chama kumjadili. CCM hawafanyi mambo kienyeji kama wale wenzetu.
P
Shida anaongoza kikundi cha kumuondoa Rais Madarakani hiyo ndio shidaNdugai bado ni Spika bora zaidi kuliko.
pamoja na yote yaliyo tokea bado watanzania wengi wangependa kumuona anaendelea kukalia kiti hicho, isipokuwa wafuasi wa Mbowe/chadema.
Mhe. Spika Bado anahitajika sana ktk kipindi hiki.
yes, nami najua hivyo kwa hiyo cheo ndiyo chenye nafasi si yeye binafsi.Kule CC anaingia kwa cheo cha Spika.
Haki za kubak ofsn anayoNdugai hawezi jiuzulu. Bunge ni mhimili unaojitegemea 🙄.Hivi Bunge na Mahakama vipo huru kweli ?Dictator Nyerere kweli alituachia majanga. Na kupata solutions ni ngumu. Mpaka wote waliozaliwa kabla ya uhuru wafe dunia.
Ni kweli kajiuzuluLeo kilikuwa kifanyike kikao maalum cha wawakilishi wa kamati zote za bunge chini ya uongozi wa Spika Job Ndugai. Kikao hicho ambacho kilikuwa kifanyike huko Unguja kimeahirishwa.
Sababu za kuahirishwa kwake hazijawekwa wazi ingawa zipo taarifa za ndani kuwa tayari Job Ndugai ameshajiuzulu nafasi zake zote ndani ya CCM na bungeni.
Utuweke sawa utufafanulie ina maana umethibitisha kuwa amejiuzulu au na wewe unauliza japo sioni alama ya kiulizo?
Hii kauli ni kubwa sanakwaiyo kusema Nchi itapigwa mnada, kusema wananchi 2025 wataangalia wachague serikali inayokopakopa au waisaliti, we huoni Kama hizo kauli ni viashiria vya uhaini?
Jobo anaigombanisha serikali na wananchi,so ajiuzulu akawe mpinzani apinge vizuri sasa
trueMkuu lakini hizo nafasi za chama kama zinatokana na cheo cha uspika si itakuwa ni automatically pia?
Kiukweli mimi ni Tomaso, siamini!, mpaka nione, nisikie toka vyanzo rasmi.Mkuu nakuambia kuwa kabwaga nafasi zote na kama huamini subiri uone makovu kama Tomaso
Akachunge ng'ombe zake pale kongwa ranch.Ndugai hawezi kujihuzulu atafanya kazi gani?
Kwa mhemuko ulioonesha leo kwenye uzi huu hakika leo nami nimeamini kuwa wewe Pascal umo katika kundi la akina Ndugai.Kiukweli mimi ni Tomaso, siamini!, mpaka nione, nisikie toka vyanzo rasmi.
P
Hatari snAkachunge ng'ombe zake pale kongwa ranch.
Pasco yupo kundi Moja kina NdugaiKwa mhemuko ulioonesha leo kwenye uzi huu hakika leo nami nimeamini kuwa wewe Pascal umo katika kundi la akina Ndugai.
Maana ulivyo ambiwa kuwa mwenzenu kabwaga manyanga umeshtuka Sana hata ukashindwa kuamini kuwa kuwa kujiuzulu inawezekana bila vikao.
Sasa umeonesha rangi yako halisi. Ila pole Sana maana utashi wa matamanio yenu umevuka hata hekima ya kawaida Ndiyo maana hata mmepanga mambo yenu bila tahadhari, ubavu wa kushindana na Rais kwa Katiba zetu za chama ccm haiwezekani.
Karibu sasa tuungane kudai katiba mpya maana matamanio yako basi tena.
Exactly,wanafanya uhainiShida anaongoza kikundi cha kumuondoa Rais Madarakani hiyo ndio shida