PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,182
Ndugu zangu,
Imeniumiza Sana kugundua nchi hii haina Chama cha upinzani ila wachumia matumbo tu.
Lowasa akiwa CCM atakuwa mwizi, fisadi na mgonjwa.
Ila akiwa CHADEMA ni mtu Safi ni mwenye afya na mwaminifu.
Mimi ninamkubali Sana Lowasa ila chadema ni matapeli wanamchafua mtu kwa hila na unafiki Mungu awalaani kwa kuwarubuni watanzania.
Lowasa ukishika uongozi jua Hao siyo watu kaa nao kwa akili, wamependa pesa zako!.
Ukishika tu madaraka sambaratisha kwanza ngome ya huyu mmachame.
Ndugu zanguni kama siasa haikuingizii pesa achana nayo wenzenu wanatafuta pesa nyie mnajiita Makamanda.
ndugu tuliaaaaa, lowassa kuja (UKAWA) ni mpango wa MUNGU kabisa njia za MUNGU siku zote si zabinadamu,
LOWASSA ndiye Rais wa awamu ya tano
ccm mtapoteana mwaka uhu mlikejeli sana kuungana kwa vyama vya upinzani,(UKAWA)
kama mngekua na akili mngejiuliza kulikoni maana haija wai tokea tangu mfumo wa vyama vingi kutokea nchini,
mngejua kwamba MUNGU Alikuwa anawapa ishara ya kuwa mwisho wenu umewadia,
mbaya zaidi Huyu LOWASSA kwenye kutafuta wadhamini mlipoona umati wa watu mkaanza majungu na kumkataa MASIHI maskini ya MUNGU,
Hata hamkujua kwamba MUNGU alikua anawapa nafasi ya mwisho
jiandaeni kisaikolojia maana kimbunga kinakuja,