alley omar
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 277
- 37
daah kila la kheri lowsa
Mmetingwa dada, mtaisoma namba safari.Kumpokea yeyote hata Lucifer ni kuonyesha chama hakina agenda, hakina manifesto ya kuwashawishi wapiga kura wakichague kiwaongoze. Shame on CHADEMA kama hii ni kweli.
kuna mtu nyuma ya lowasa weyeAliyetengeneza hii picha mwambieni kasahau kamguu hapo penye duara...
analindwa huyo wewe.Aliyetengeneza hii picha mwambieni kasahau kamguu hapo penye duara...
Mafuriko ya bwana mamvi yataicha ccm vipande vipande, cdm hatuna tatizo na lowasa tatizo letu ni mfumo wa ccm ndo unaodumaza maendeleo yeyote mwenye nia ya dhati kulitokomeza hili liccm tutamuunga mkono hata kama ni shetani.
Kawaida yangu ni kusoma comment zote ndipo nichangie,ila UZI huu UNAKIMBIA si kawaida,nimeshindwa kuzisoma zote.SICHANGII kwa sasa.
kuna mtu nyuma ya lowasa weye
Ukiangalia vizuri picha hii nyuma ya lowasa kuna mtu, lakini haonekani ktk uhalisia kwa hiyo hii inaashiria kwamba mambo bado hii ni photo shop
View attachment 271512
angalia chini viatu huyo mtu mbona haonekani?
Kwa hiyo mtu mbaya Lowasa kaenda shemu nzuri?
kwa hiyo chadema wanafanya kazi za kanisa..hata wewe ingawa ni fisadi sana...unakaribishwa kutubu chadema
ijapokuwa dhambi zenu ni nyekundu kama damu...mkija chadema zitasafishwa na kuwa kama theluji