Naona povu jingi, mwaka huu lumumba mtanena hata kwa lugha.
CCM wanasheekea, ila wafuasi wa CDM wanasikitika. Mi kinacho nisikitsha ni uogo wa DR. Slaa, Mbowe.
Mpaka aibu yaani
Je atakuja na yule Msukuma aliyeingia uwanjani Arusha na helicopter??kumwengua lowassa kwenye kugombea urais wa nchi? manake lowassa ni tishio kubwa kwao. hivyo uamuzi wa Chadema ni muafaka
Mwanzo hadi mwisho ni ----!Ndugu zangu,
Imeniumiza Sana kugundua nchi hii haina Chama cha upinzani ila wachumia matumbo tu.
Lowasa akiwa CCM atakuwa mwizi, fisadi na mgonjwa.
Ila akiwa CHADEMA ni mtu Safi ni mwenye afya na mwaminifu.
Mimi ninamkubali Sana Lowasa ila chadema ni matapeli wanamchafua mtu kwa hila na unafiki Mungu awalaani kwa kuwarubuni watanzania.
Lowasa ukishika uongozi jua Hao siyo watu kaa nao kwa akili, wamependa pesa zako!.
Ukishika tu madaraka sambaratisha kwanza ngome ya huyu mmachame.
Ndugu zanguni kama siasa haikuingizii pesa achana nayo wenzenu wanatafuta pesa nyie mnajiita Makamanda.
Kwa fununu watanzania wamekasirika sana juu ya ukigeu geu wa CHADEMA. Kipindi wanatangaza majina ya list of shame, watanzania walifurahi sana na CHADEMA walipata umaarufu. Moja ya fisadi papa ndani ya CCM na aliyetakiwa kujivua gamba tangu mapema alikuwa Lowassa. Ila cha ajabu aliendelea kukomaa ndani ya CCM akijua kwamba anaweza kuwanunu wajumbe mpaka rais na baraza la ushauri la wazee. Ila kumbe system (UT) waligundua kuna mtu anataka kuuza nchi. JK ukamuingia uzalendo na kufanya maajabu ya kutuletea mgombea asiye kuwa na doa. Sasa upande mwingine wa shilingi.
Iwapo Lowassa angepitishwa na CCM, tungeshuhudia magazeti kama ya Tanzania daima yakilemba;
Je ndani ya CDM sasa watamuitaje??? Je hii si ndiyo dalili kufa CDM?
- CCM wapitisha fisadi urais
"Kilichowapa umaarufu Dr. Slaana CHADEMA ndicho kinawashusha."
Zitto aliitwa na anaendelea kuitwa Yuda Msaliti, wakati Mbowe ana damu za wana CDM waliokufa kwenye maandamano na mikutano ya CDM Kwa mil 10!! Inasikitisha.
CCM inaenda kufa, kifo cha ghafla sana...
Lowassa + UKAWA, hakuna jinsi CCM isife, kwanza kimeshazeeka sana...ni Grand Old Party... imetosha, pumzikeni sasaaaa...
Mamilioni, kuhamia UKAWA wiki hiii... mtaoanaaaaaa....!!!
Ndugu zangu,
Imeniumiza Sana kugundua nchi hii haina Chama cha upinzani ila wachumia matumbo tu.
Lowasa akiwa CCM atakuwa mwizi, fisadi na mgonjwa.
Ila akiwa CHADEMA ni mtu Safi ni mwenye afya na mwaminifu.
Mimi ninamkubali Sana Lowasa ila chadema ni matapeli wanamchafua mtu kwa hila na unafiki Mungu awalaani kwa kuwarubuni watanzania.
Lowasa ukishika uongozi jua Hao siyo watu kaa nao kwa akili, wamependa pesa zako!.
Ukishika tu madaraka sambaratisha kwanza ngome ya huyu mmachame.
Ndugu zanguni kama siasa haikuingizii pesa achana nayo wenzenu wanatafuta pesa nyie mnajiita Makamanda.
Ndugu zangu,
Imeniumiza Sana kugundua nchi hii haina Chama cha upinzani ila wachumia matumbo tu.
Lowasa akiwa CCM atakuwa mwizi, fisadi na mgonjwa.
Ila akiwa CHADEMA ni mtu Safi ni mwenye afya na mwaminifu.
Mimi ninamkubali Sana Lowasa ila chadema ni matapeli wanamchafua mtu kwa hila na unafiki Mungu awalaani kwa kuwarubuni watanzania.
Lowasa ukishika uongozi jua Hao siyo watu kaa nao kwa akili, wamependa pesa zako!.
Ukishika tu madaraka sambaratisha kwanza ngome ya huyu mmachame.
Ndugu zanguni kama siasa haikuingizii pesa achana nayo wenzenu wanatafuta pesa nyie mnajiita Makamanda.