Ndugu zangu,
Imeniumiza Sana kugundua nchi hii haina Chama cha upinzani ila wachumia matumbo tu.
Lowasa akiwa CCM atakuwa mwizi, fisadi na mgonjwa.
Ila akiwa CHADEMA ni mtu Safi ni mwenye afya na mwaminifu.
Mimi ninamkubali Sana Lowasa ila chadema ni matapeli wanamchafua mtu kwa hila na unafiki Mungu awalaani kwa kuwarubuni watanzania.
Lowasa ukishika uongozi jua Hao siyo watu kaa nao kwa akili, wamependa pesa zako!.
Ukishika tu madaraka sambaratisha kwanza ngome ya huyu mmachame.
Ndugu zanguni kama siasa haikuingizii pesa achana nayo wenzenu wanatafuta pesa nyie mnajiita Makamanda.
siasa ni mchezo mchafu hakuna chama chenye nia ya dhati kumukomboa mtanzania
Mkuu tupo pamoja. Yaani leo hawa Jamaa wameniharibia siku. Hivi Lowasa ana Watu gani zaidi ya kununua,Watu? Na alaaniwe mtu aliyekuhadia huyu mtu aje Chadema na agombee uraisi. Hivi wakiita mikutano bila kukodi maroli na wWatu tunakwenda wamepata kiburi? Kwa kweli kama atakuwa mwanachama wa kawaida aje lkn sio Rais. Ole wenu mkija na Lowasa wenu mtafutika ghafla kwenye siasa za TZ. Dr. Kanusulika kuuawa Mara ngapi? Wananchi Wa ngapi wamefilisiwa na kuuawa na kuacha familia zao zikiteseka. Lowasa alikuwa wapi? Lowasa kawahi lala mahabusu? Kawahi pigwa virungu kama Mke Wa Dr Slaa? Acheni ujinga. Naamini Tundu Lissu na Dr hamtakubari ujinga huu.It is really unbelievable, hivi kumbe sisi Watanzania karibu wote ni wachumia tumbo? Hivi ni kweli hili limetokea? Sipati picha hawa waliomsema Lowassa ni fisadi mkubwa mpaka wakamtaja kwenye list of shame leo hii wanakaa meza moja na kujadiliana apate nafasi ya kuwa rais.Shame. Mbowe anakiua chama. Hivi huyo Slaa anajisikiaje? anakula matapishi yake mwenyewe? Yaani hainingii akilini kwa kweli. Mnyika, Tundu Lisu, Lema, Mdee mmekubali kweli haya yatokee? Kweli sasa nimeamini pesa inavunja milima!!!
CDM wasije wakasema hatukuwaonya.Hii ni hatari.Huwezi ukawa chama kinachodai kinasimamia uadilifu na uzalendo ukamchukua fisadi kama huyu Lowasa.Mimi sitakuwa sehemu ya uchafu huu.
The rejected stone is becoming a stepping stone wow!!
Mkuu tupo pamoja. Yaani leo hawa Jamaa wameniharibia siku. Hivi Lowasa ana Watu gani zaidi ya kununua,Watu? Na alaaniwe mtu aliyekuhadia huyu mtu aje Chadema na agombee uraisi. Hivi wakiita mikutano bila kukodi maroli na wWatu tunakwenda wamepata kiburi? Kwa kweli kama atakuwa mwanachama wa kawaida aje lkn sio Rais. Ole wenu mkija na Lowasa wenu mtafutika ghafla kwenye siasa za TZ. Dr. Kanusulika kuuawa Mara ngapi? Wananchi Wa ngapi wamefilisiwa na kuuawa na kuacha familia zao zikiteseka. Lowasa alikuwa wapi? Lowasa kawahi lala mahabusu? Kawahi pigwa virungu kama Mke Wa Dr Slaa? Acheni ujinga. Naamini Tundu Lissu na Dr hamtakubari ujinga huu.
Mkuu tupo pamoja. Yaani leo hawa Jamaa wameniharibia siku. Hivi Lowasa ana Watu gani zaidi ya kununua,Watu? Na alaaniwe mtu aliyekuhadia huyu mtu aje Chadema na agombee uraisi. Hivi wakiita mikutano bila kukodi maroli na wWatu tunakwenda wamepata kiburi? Kwa kweli kama atakuwa mwanachama wa kawaida aje lkn sio Rais. Ole wenu mkija na Lowasa wenu mtafutika ghafla kwenye siasa za TZ. Dr. Kanusulika kuuawa Mara ngapi? Wananchi Wa ngapi wamefilisiwa na kuuawa na kuacha familia zao zikiteseka. Lowasa alikuwa wapi? Lowasa kawahi lala mahabusu? Kawahi pigwa virungu kama Mke Wa Dr Slaa? Acheni ujinga. Naamini Tundu Lissu na Dr hamtakubari ujinga huu.
Kama ni kweli Chadema kwisha,Lowassa kwishaa!