Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Hata hivyo ww ni CCM hivyo acha kutufuatilia Kwan tunahitaji mageuzi ya kweli katika siasa ya nchi yetu. Tunaishukuru sana CCM kwa hapa ilipotufikisha bt tunahitaji kusonga mbele zaidi kwa kukaribisha siasa yenye fikra na changamoto mpya kwa ustawi na ustaarabu (civilization) wa taifa
Tehetehetehetehe. UKAWA bila ya CCM haina uwezo
 
Alisema asipopitia mlangoni atapitia dirishani.naona chadema ndio dirishani.wananchi tuepuke sana vyama ambavyo viko tayari kuungana na mafisadi kwa sababu ya fedha. Chadema mmekuwa mfano mbaya sana kwa vyama vya upinzani hapa nchini.
 
Huku, naendesha, boda boda wanapigaa makeleleeeeeeee rais rais raisiiii, Lowassaaaa, sijui hata nani kawaambia kuwa kaenda UKAWA...yaani hawa sijui wameona au wamesikia ktk radios...yaani huwezi amini, taarifa zinafika sekunde siku hizi...daaaaahhh
Lowassa no mgonjwa name fisadi papa ndiomaana Ccm wamembwaga
 
Hata kama UKAWA wangesimamisha jiwe ligombee urais wangepata kura yangu, na sasa wameleta zawadi kubwa kwa watanzania tupewe nini tena....naona oktoba mbali sana natamani tuwamalize ccm kesho.
 
Mbona kikwete alikuwepo na bado mkampa irais mwaka 2010. Wote walioko kwenye list of shame ccm iliwatetea na kuwapa uongozi, hiyo leo sio hoja, leta hoja nyingine.

List of shame unaijua wewe, watanzania na wana cc karibu milioni waliompa kura Lowassa hawaijui na hata kama wanaijua wanachotaka ni mabadiliko.

Ccm sasa mavi yanagonga chupi na kurudi, matumbo ya kuhara yamewaanza gafla.
Aliyemuweka JK siye aliyemtaja pale Mwembe Yanga , hii ya Slaa ni ya aina yeke kabisa, lakini naamini SLAA hatapanda jukwaani kumnadi Lowassa hata kidogo.
 
Kwani wewe kwa sasa upo chama gani? Maana umekuwa bendera fuata upepo. Lowasa akigoma CHADEMA na kujiunga ACT unaelekea huko. Njaa mbaya sana

kwani lazima kila mtu awe ktk chama flani???wengine ni wafuasi wa mabadiliko,wakiyakosa ndani watayafuata nje!kwa sasa bora utulie,meza piritoni ulale mjomba
 
Lowasa itabidi uzungumzie Richmond kabla sijakupa kura yangu
 
Nahisi kama naota hivi!!!! Nami ngoja nianze kukusanya kilichochangu
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini habari hii japo kwenye siasa kila jambo lawezekana, hata Kikwete kuhamia CUF inawezekana.
 
ni maajabu sana huku mitaani. Kila mtu anashangilia jambo hili, nimepita mkutano mmoja wa ccm kura za maoni eti nao wanashangilia lowasa kugombea ukawa. Kweli ccm itabaki?
 
lowassa akiweka ushahidi kamba hakuusika unadhan itakuwaje!
 
Back
Top Bottom