Ascorobic Acid
Member
- Oct 17, 2013
- 66
- 6
upinzani wa kweli,utatoka ndani ya CCM.J.K.Nyerere
Sijui ni nani huwa anamshauri madudu Fisadi Lowassa!!
Rutakobekwa, shobolewa nkMakamanda mbele ya hela wamelegea kabisa...
Shida yako ni nini mkuu, mpiganaji hachagui silaha mradi imsaidie.Chadema mnakatisha tamaa
Mbowe na Mtei deal done.bilioni 10 mfukoni
Sijapata jibu Dr Slaa atagombea ubunge?
Mwaka 2005 JK aliokolewa na Mkapa kwenye vikao baada ya kusema mafaili ya wagombea yasitumike ila nani anakubalika. JK alianza kuchezewa rafu mapema na kitengo na kulalamika kwa mwenyekiti. Plan B ilikuwa kwenda chadema kama jina lake lingekatwa.Meandu Plz hivi ni kweli!!!!????????????????
Una uhakika wa hao waliokuwa wabunge kurudi mjengoni! Vyama vyote karibu vinamaliza michakato ya kura za maoni, je watawahi kura za maoni za Chadema?
Hata Kenyata kule Kenya aliitwa fisadi hapo kabla kwa kujilimbikizia mali lakini leo hii ndio Rais na nchi inazidi kuimarika na ukumbuke ni huyo huyo Kenyata ndiye aliyepunguza Mshahara wake kwanza halafu ukafuata kwa Wabunge na Mawaziri. nimekuandikia haya nikitaka kukufumbua macho kuwa ndani ya CCM fisadi ni mfumo ulio ndani ya CCM hivyo mtu akitoka ndani ya CCM ufisadi wake unapotea kwani atakuwa nje na huo mfumo wenu.
na wale wanec wa " tuna Imani na Lowassa,
oya oya
Lowassa kweli
kweli kweli Lowassa
Lowassa kweli
kweli kweli kweli Lowassa. "
Huku makofi na vilege vilege vikilindima?
Nashangaa Watanzania wengi wanaogopa mabadiliko, hivi wanafikiri ni kazi ndogo kuiondoa ccm madarakani iliyokaa kwa miaka zaidi ya 40?
Wanahitajika watu strong kama Lowasa.
Ndio maana anataka kuonyesha maajabu ya dunia ya kukifuta kwenye ramani ya sisa chama kikongwe kilichodumu madarakani tangu mwaka 1958.Lowassa hii tamaa ya kuutaka urais haijawahi kutokea toka dunia iumbwe
Nashangaa Watanzania wengi wanaogopa mabadiliko, hivi wanafikiri ni kazi ndogo kuiondoa ccm madarakani iliyokaa kwa miaka zaidi ya 40?
Wanahitajika watu strong kama Lowasa.
ubalikiwe kwa kulijua hili. Ni kweli na uchumi wa kenya umekuwa gumzo, tunataka rais anayechukia umaskini siye anayetupeleka umaskinini.Hata Kenyata kule Kenya aliitwa fisadi hapo kabla kwa kujilimbikizia mali lakini leo hii ndio Rais na nchi inazidi kuimarika na ukumbuke ni huyo huyo Kenyata ndiye aliyepunguza Mshahara wake kwanza halafu ukafuata kwa Wabunge na Mawaziri. nimekuandikia haya nikitaka kukufumbua macho kuwa ndani ya CCM fisadi ni mfumo ulio ndani ya CCM hivyo mtu akitoka ndani ya CCM ufisadi wake unapotea kwani atakuwa nje na huo mfumo wenu.