Una uhakika wa hao waliokuwa wabunge kurudi mjengoni! Vyama vyote karibu vinamaliza michakato ya kura za maoni, je watawahi kura za maoni za Chadema?Hapa kwenye wabunge 150 ndio hasa kwenye suala la msingi - tulikuwa tuna imbalance kubwa sana ya power kwenye lile jengo...