The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,637
- 18,268
Unaongelea nini? Goli la mkono ama?
CCM wajifunze Kenya ubaya wa goal la mkono!!
Wamuulize Kibaki!
Unaongelea nini? Goli la mkono ama?
Sijapata jibu Dr Slaa atagombea ubunge?
CCM wana akili saaaaaana, duuuuuu, CHADEMA kwiiiiiiisha kabisa....mimi yangu machoo......time will tell.....watanzania ni wepesi saaaana kusahau historia..kumbuka tulianza na Mrema........
lowassa akihudhuria kikao kamati kuu chadema
View attachment 271482
waziri mkuu mstaafu wa jmt mh. Edward ngoyai lowassa, akisalimiana na viongozi na wanachama wa chadema
View attachment 271483
waziri mkuu mstaafu wa jmt mh. Edward ngoyai lowassa akiwa meza kuu na viogozi wa chadema
Watakaoondoka ni wachache na watakaokuja ni wengi, JEMBE lije tu, ila hizi picha ni Photoshop hebu angalieni bega la salum mwalimu pale high table
CHADEMA kuleni makombo yote ambayo tajiri wenu CCM wanadondosha.Mwishowe mtakaa mashavu kama mazeze na kuanza kuharisha kipindupindu
Chadema kwisha habari yake...Teh Teh..