Dongo La Kiemba
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 1,830
- 1,265
Wewe ni mnafiki, unamtukana mzazi wako fukara.Jamaa kadharirishwa sana na JK hadi sisi mashabiki wake tulikuwa tunawaza kama kafanyiwa Lowassa hata vipi watoto wa mafukara kama sisi!!? Mungu ni mwema kwa kumpa ujasiri mwingine Lowassa.
Ungeweza kujua hata ABC?
Acha unafiki.