Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

Mafuriko yamefunguliwa sasa dadadeki maccm jamba jamba kwa kwenda mbele.
 
picha hii ni batili. kuna kamanda hapo kwa picha anaonekana, namba yake ninayo, nimempigia, kasema hajawahi kukaa karibu na mzee Ngoyai namna ile tangu azaliwe.

Mods pigeni pini huyu member alieleta huu uzi.

Wewe ndio umedanganywa hili tukio limeshazagaa sana upande wa pili
 
Mambo yameivaa Bahari Beach Hotel.
View attachment 271473

View attachment 271476

************************** Updates *************************​

Hapa ni kama anawachumbia CHADEMA kwani naona walivyoinamisha vichwa chini. Ina maana anatumia CDM kama ngazi au tolet paper? Nauliza kwa sababu naona anakuja na mtandao wake woote na hawa waliopigana kuifikisha CHADEMA ilipo watakwenda kutupwa dampo gani?
 
Teh Teh Makanda na fisadi wako safari moja..
 
Duu ngoja nikajiandikishe... Nipate kisu changu nijisubirie ifike tar 25 Oct sintocheka na gamba lolote...
 
Rudisha wewe yako
Hata akija chenge anatakiwa atubu dhambi zake na afuate taratibu za chama chetu
 
Teh Teh Makamanda mlificha mambo yamefichuka sijui nani kawasaliti kwenye vikao na kuvujisha picha hizi Teh Teh...!

Dr.W.Slaa jitokeze hadharani utwambie kama Lowasa ni fisadi au lah?

Mbona unajinyea nyea mdogo wanguuu..kwani umejipangaje?
 
Last edited by a moderator:
Kama akiwa ccm alikuwa fisadi basi hata akienda #CHADEMA bado atakuwa fisadi ntasema ukweli daima Lowasa hafai kuwa raisi wa tanzania Tetty

Sijakuelewa maana picha yaonyesha yupo ndani ya kikao cha hiyo kamati au?Nitawaelewa viongozi wangu kama Lowassa atakuwa mwanachama wa kawaida tu.Mkimuweka mgombea ah!Hamjanipata bado.
 
Top 5 Priorities:
Priority #1 delete CCM
Priority #2 delete CCM
Priority #3 delete CCM
Priority #4 delete CCM
Priority #5 katiba mpya

Mengine baadaye
 
Post zingine sijui watu wanazitoa huku wamekalia kitu...... Tukutaneni Oktoba 25
 
CCM wana akili saaaaaana, duuuuuu, CHADEMA kwiiiiiiisha kabisa....mimi yangu machoo......time will tell.....watanzania ni wepesi saaaana kusahau historia..kumbuka tulianza na Mrema........
 
Kama kuna shetani nyumbani kwangu na linatesa wanangu lakini ili litoke nahitaji jini kumtoa basi lazima nitamwambia jini karibu tumtoe shetani.
CCM ni lazima itoke, kama lazima tutumie jini ndio itatoka basi sawa tuu wacha tutumie kisha jini tutaliombea liwe jini mahaba.
Halafu lianze kuwala tigo we na wanao? Logic yako imeparaganyika mkuu. Suluhisho la shetani ni jina la Yesu tu naye atakimbia na kuacha siasa kabisa. Jini/shetani halisafishiki, halisameheki na lilishahukumiwa! Mnapoteza muda tu!
 
Ni bora kua na mchafu mmoja katika kundi la wasafi kuliko kua na msafi mmoja katika kundi la wachafu...hii ndio tofaut ya lowasa na magufuli
 
Back
Top Bottom