Tatizo lowassa ana siri nyingi kuhusu serikali,akiamua kuachia folder ya uchafu wote wa ccm na serikali atakua mwiba sana kipindi cha kampeni
Yeye mwenyewe habari kaitoa jfZittokabwe: It is offficial. CHADEMA central committee welcomes ex premier Edward Lowasa. 2015 very exciting elections http://t.co/IImUnKzmD6/s/9sNj
Ingawa tulikuwa na tetesi lakini haikutegemewa kuwa ni kweli.Ndani ya 1hr tayari pages zishafika 17...Duh, huenda hii ni Breaking Big News
picha hii ni batili. kuna kamanda hapo kwa picha anaonekana, namba yake ninayo, nimempigia, kasema hajawahi kukaa karibu na mzee Ngoyai namna ile tangu azaliwe.
Mods pigeni pini huyu member alieleta huu uzi.
Hahahha mzee kafanya maamuzi magumu
uko ccm tayari utarudi ccm ipi tena?Kama kweli CHADEMA kwisha kazi. Wamejipeleka kaburini huku wakiona na kutizama. Inatia huruma kwa Watanzania waliokuwa na matumaini kwa chama chao cha CHADEMA. Watakimbilia wapi??? Sitashangaa wakirudi kwa CCM ambao wameonyesha kuanza vita dhidi ya ufisadi kwa kumuengua Lowasa kwenye kugombea urais wa nchi.
Wewe ni CCM sio CDM