chikurukutu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 224
- 88
Hahahaaa.. Sasa hii tuiite team lowassa part II
mi wa pili lkn sichangii
Kuna hatari ya kumsimamisha kuwa mgombea urais kupitia Ukawa, (ingawaje kura yangu hapati) na CCM wakatumia chance hiyo kumfungulia mashitaka ya kuhujumu uchumi wa nchi, kutia taifa hasara (Richmond) Rushwa (mali alizonazo hazilingani na kipata chake) na nk. Ukawa wanatakiwa kuwa macho.. Ukawa watu watu ambao wanaushawishi kuliko Lowassa maana ushawishi wa Lowassa ni pesa hakuna kitu kingine.
Mhh! Kama ni kweli, Dr. Slaa na Lema itabidi wafanye kazi ya ziada ya kufuta video zote katika Youtube walizokuwa wakimtupia maneno lowasa. Siasa za kiafrika, duhLowassa akihudhuria kikao Kamati kuu CHADEMA
View attachment 271482
Waziri Mkuu Mstaafu wa JMT Mh. Edward Ngoyai Lowassa, akisalimiana na viongozi na wanachama wa CHADEMA
View attachment 271483
Waziri Mkuu Mstaafu wa JMT Mh. Edward Ngoyai Lowassa akiwa Meza Kuu na viogozi wa CHADEMA
Hapa kwenye wabunge 150 ndio hasa kwenye suala la msingi - tulikuwa tuna imbalance kubwa sana ya power kwenye lile jengo...
we umejuaje kaitoa huku mkuu (vithibitisho)?Yeye mwenyewe habari kaitoa jf
Teh Teh...kamwe mtu wako hawi Rais kwenye nchi hii!Post zingine sijui watu wanazitoa huku wamekalia kitu...... Tukutaneni Oktoba 25
Mimi binafsi siamini mpaka nione kama Tomaso wa Biblia. Pamoja na tabia ya siasa kutokuwa na adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu, kwa Lowasa imezidi. Tunamsafisha kwa kutumia nn kwa watz?