Mbowe ameudhalilisha sana upinzani.
nchi inawaka moto hii jiviche mambo magumu.Nyeti za kuku zinasambazwa na kimbunga
Mbowe ameudhalilisha sana upinzani.
Acha kucheza na akili za watu. Photoshop at work.
Usichoamini nini??Hakuna kitu hapo kadanganye wajinga wenzio.kazi hizo tuliwahi kuzifanya.
Makamanda mpo!!!!!!.
Tulia wewe. Hiyo picha ni halisi kabisa.
Chadema/UKAWA waliwasaidia CCM kupata mgombea wao wa uraisi lakini CCM wamekuwa kimya kwa mgombea wa Chadema/UKAWA. UKAWA kuweni makini na maamuzi yenu
nchi inawaka moto hii jiviche mambo magumu.Nyeti za kuku zinasambazwa na kimbunga
Hatariiiiiiiiiiiii