The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,634
- 18,256
Haa haa kumbe rushwa sio agenda tena ya makamanda jamaa kapewa ten billion kavuta faaaasta hapo bado hawajafika ikulu haya ndo tunawaita watetezi wa wanyonge aiseee bora nibaki kuwa muumin wa dini sio siasa!!kwaheri mzee wa safari ya rushwa!!
Hivo 10 billion kapewa kwenye gunia au zimehamishiwa kwenye account yake!?