sonofobia
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 384
- 2,526
Kijana wa Mbowe ambaye ni maaarufu mtandao wa twitter kwa kumlinda Mbowe kwa gharama yoyote. Ameonekana akimsifu Makonda kuwa ni mwanasiasa mahiri anaeziweza siasa za hoja kwa hoja na sio za kushikiana mtutu.
Hii imekuja siku chache baada ya Lissu akionekana hadharani akiuoponda uteuzi wa Makonda akimwita muarifu.
Wataalam wa siasa tupeni mtazamo wenu kuhusu kambi ya Mbowe ambao hawataki kusikia la yoyote kuhusu utawala huu wa awamu ya 6.
Lissu ameonekana jana akisema hajui maridhiano yanahusu nini.