Gwakukahja
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 1,118
- 732
Usitake kila mtu afanye kitu unachofanya au anachofanya mtu fulani na usitake ktu anachofanya fulani kikufurhishe nafsi yako....... Nafanya kitu kinachonifurhisha nafsi yangu kama mimi naona kujenga nyumba ndo jambo la msing saana na litaifurhisha nafsi yangu najenga nyumba kama naona kusoma saana mpaka ma PhD ndo furaha yangu nitafanya hivyoo kama naona kuwa ma miradi mingi ndo furaha yangu na nafsi itafurahi nitafanya hivyoo........Kijana umemaliza zako chuo ukapata ajira (mshahara hauzid 1m) basi ukafanikiwa kupata ki-mkopo kisichozidi 14m kisha unajitesa eti unaenda kununua kiwanja ili ujenge nyumba. Hivi niulize, utajenga chumba ama nyumba na 14m?
Acheni mawazo ya kimaskini, hiyo hela iingize kwenye biashara uzichange kwanza.
KILA MTU ANAFANYA KILE ROHO INAPENDA