Kijana, kujenga nyumba ni uoga wa maisha

Kila mtu na mipango yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu na plan zake
Screenshot_2019-03-21-17-29-50-1.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati nachukua mkopo mwaka 2007 wa 16M na kumalizia nyumba yangu pale Dom watu walinicheka sana, wenzangu wakanunua hiace na used coaster, ila usimamizi ukawashinda na wakaziuza zoote

Kwa ss nachukua 400,000 kiulaiiini! Maisha nikujipanga tu, na siku zote usimuige mtu kuishi
Watapata tabu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ishu iko hiv anaingizaje kwenye biashara wakat ameejiriwa ? Na pesa yote hiyo ni ya mkopo? Nishauri kama hatojali akafanye upembuzi yakinifu anunulie viwanjwa vya kutosha then asubir baada ya muda awe anaviuza kwa gharama ya juu zaidi itamsaidia kidgo kuliko kuwahi kujenga cz nayo n liability tu kuwa na nyumba unayokaa mwenyew then kama atakuwa na confidence ya kufanya biashara afanye kwa kuanzia chini atajifunza mengi
 
hakuna baba mwenye gari au baba mwenye bar ila kuna baba mwenye nymba. Unajiskiaje unapoamka asbh umejifunga taulo uko kwenye nymba ya kupanga tena chumba kimoja af jiona uko bar wanakusifu kwa kutoa offer
Hakuna mtu aliyewahi kulala nje kwa kukosa sehemu ya kulala ila wapo waliotembea posta mbezi kwa kukosa usafiri.
 
Kuna harufu ya wivu hapa, wewe umepanga nyumba nzima vyumba vitatu unalipa 250,000 kwa mwezi,hela ambayo unaitoa ktk mshahara na kumlipa mwenye nyumba, Mwenzio kakopa kajenga nyumba yake na anakatwa 200,000 kila mwezi, Nani mjanja hapa
Umerahisisha sana.

Kuanzia amekopa mpaka amejenga imechukua muda gani? Wakati huo wote alikuwa anaishi wapi?

Amejenga eneo gani? Anatumia muda na nauli kiasi gani kila siku kwenda na kurudi kazini?
 
Umeongea ukweli lakini wachache watakuelewa. Tatizo wengi wanakosa elimu ya pesa, hasa vijana ambao wazazi wao ni waajiriwa. Mtoto tangu anakuwa anaambiwa ukiwa wa kwanza darasani utapata kazi nzuri. Hovyo asilimia kubwa formula ya maisha ni moja: KUSOMA-KUAJIRIWA-KUJENGA-KUNUNUA GARI-FAMILIA-PENSHENI.
Wahindi hawana nyumba bongo ila business zote kubwa ni zao deals kibao sisi unaenda kujenga Mavurunge 45kms toka city centre
 
Risk taker....ushauri wako utamfaa sana.

Risk averse....ataona unampigia kelele na haitakuwa vyema kuutilia maanani ushauri wako.

Wote hawa wako sawa kwasababu ndivyo muundo wa maisha yao wameona uwe.

Kijana umemaliza zako chuo ukapata ajira (mshahara hauzid 1m) basi ukafanikiwa kupata ki-mkopo kisichozidi 14m kisha unajitesa eti unaenda kununua kiwanja ili ujenge nyumba. Hivi niulize, utajenga chumba ama nyumba na 14m?

Acheni mawazo ya kimaskini, hiyo hela iingize kwenye biashara uzichange kwanza.
 
Kijana umemaliza zako chuo ukapata ajira (mshahara hauzid 1m) basi ukafanikiwa kupata ki-mkopo kisichozidi 14m kisha unajitesa eti unaenda kununua kiwanja ili ujenge nyumba. Hivi niulize, utajenga chumba ama nyumba na 14m?

Acheni mawazo ya kimaskini, hiyo hela iingize kwenye biashara uzichange kwanza.
Kweli kabisa mkuu,,

Hata kupanga chumba pia ni uoga wa maisha,,

Bora ukae guest ,,,,
 
Unataka kupangia hela zetu matumizi? Acha tujenge we endelea Kula totoz mkuu
 
Back
Top Bottom