Mkuu umeongea kitu cha ukweli mtupu!! hili lina ushahidi nalo kwa 100% kabisaa!! ukimpenda sana harafu akajua kuwa unampenda dharau zinaanza harafu anakuchukulia poa sana!!! nimeanza kulifanyia kazi kwa ubora zaidiSio lazima uwe unatembea nao kingono, ila at any time T hakikisha una wanawake angalau watatu warembo "standby", ambao una mawasiliano nao ya karibu. Ukiweza kuwa unawatafuna ni added advantage.
Hii itakusaidia sana kudumisha mahusiano yako ya SASA kwa njia zifuatazo:
1. Itakujengea komfidens ya kuishi na mpenzi wako. Unapokua na wanawake wengine, hata kama huwatafuni lakini inakupa moyo fulani kwamba hata huyu nilie nae akizingua au akiniacha poa tu, kuna wengine wengi. Hii itabadilisha kabisa maamuzi unayofanya na jinsi unavyom handle mpenzi wako na itakuepusha kufanya mambo mengi ya kiboya. Mathalan, itakuondolea kabisa tabia ya kumlilia lilia mpenzi wako na kumnyenyekea kifala na hata akikupiga chini ni nadra wewe kuumia sana na kuja kulia lia JF nk achilia mbali kujinyonga.
2. Mpenzi wako atakupenda zaidi akijua/akihisi una wanawake wengine unawasiliana nao! Akili za wanawake wanazijua wenyewe. Wanawake wanaamini kwamba mwanaume anaependwa na wanawake wengine huyo ndio mwanaume hasa! Thamani yako kwake inashuka sana akigundua huna mwanamke mwingine yeyote yule zaidi yake!
3. Itapunguza sana migogoro kati yako na mpenzi wako. Mara nyingi unapokua na mpenzi mmoja tu kama roho, hata kosa dogo sana linaweza kukuzwa na kuwa kubwa na kwavile huna pa kupumulia mnajikuta mnagombana sana mara kwa mara. Ukiwa nao wengi, utashangaa vitu vidogo vidogo unapuuzia tu na maisha yanaendelea. Mfano ukinyimwa gemu wala hauta mind, tena ndio unashukuru maana kwanza unakua umechoka. Ukituma msg asipojibu wala sio ishu maana hapo una watu wengine watatu unawasiliana nao.
4. Inasaidia ku balance attention yako kwa mpenzi wako. Twende mbele turudi nyuma, japokua wanawake hua wanadai wanapenda attention, ila kiukweli ukiwapa sana attention wanakuona boya tu! Mwanamke akishakuona mda wote wewe unamuwaza yeye tu, unachat nayeye tu, mda wowote akikuhitaji upo tu, anakuona lofa tu na anaanza kukuchoka.
5. Inaimarisha tendo la ndoa! Amini usiamini hakuna kitu kinaua "vaibu" kama kua na mwanamke mmoja tu. Kuna kitu wazungu wanaita "sexual monotony" yaani ile hali ya kukinai ku sex na mtu huyohuyo kila siku. Ukiwa na kitu ya pembeni, utashangaa unaimarika hata kwa huyu wa sasa maana ukienda nje ukija kurudi ndani inakua mpya na gemu linakolea hatar.
6. Inakupunguzia gharama! Ukiwa na ka mwanamke kamoja tu, hukawii kujikuta unaanza kuwaza kukafanyia mambo (ya kifala) makubwa kama kukajengea nyumba, kukanunulia gari, kulipa kodi, ada nk! Kiasi kwamba siku huyo mwanamke akikupiga chini lazima udate ukiwaza uwekezaji uliofanya. Ukiwa nao watatu - wanne, utajikuta unawaza kijanja "hivi kila mmoja akitaka nimjengee nyumba/gari/ada itakuaje?" Utajikuta unafutilia mbali hayo mawazo ya kifala.
NB: Hata kama huna mwanamke nje, tengeneza mazingira ya kumfanya mpenzi wako AHISI kwamba unae. Mfano, potea ghafla hewani kwa muda mrefu, weka simu yako ma passwedi, ma fingerprint nk. Ukipigiwa simu hata na mshkaji, kaongelee nje. Ukiwa ofisini sema uko home and vice versa ili akija asikukute ahisi upo na mwanamke. Yaani kifupi kuwa mtu usieeleweka eleweka! Utapendwa balaa !!
Unaweza kuwa na hela zako ukapigwa matukio dabo dabo hadi ujione kengeLabda uwe na hela asee kama huna pesa akijua tu una videmu inakula kwako....
Kikubwa pesa
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Exactly mkuu. Hakuna kitu hatari kama kumuonyesha mwanamke kwamba unampenda sana! Mwanzoni atajidai anafurahi sana lakini kumbuka by nature wanawake ni "control freaks" atataka akutawale na kuku-control maana ameshajua unampenda. Akishafanikiwa kukutawala anaanza tena kukuona boya maana pia by nature mwanamke hapendi mwanaume "weak" ambae ana "controlika" kirahisi.
Hii mbinu toka nianze kuitumia baaada ya kumaliza chuo naweza ipa A plus,kwa kuniondolea stress na kuniongezea strategies za kupata mwanamke mwengine yeyote yule duniani,popote pale kwenye hewa ya oxygen .........
Mwanamke anapenda mwanaume asiyemuelewa,mwanaume flani hivi anaweza kaaa hata miezi hajamtafuta.
Kikubwa tu uwe na akili,mtanashati na vijisenti vya hapa na pale.
Uwe mtu fulani hivi,unaweka appointment na demu mwenye nyege kisha hutokei,siku demu hata hujamtongoza akija gheto kwako unamgonga,akikataa unampotezea,yaani mtu fulani hivi hauna formula na maisha ya mapenzi ,ndio mwanamke anampenda.
Akikwambia umtumie hela haumtumii,siku akija hana hili wala like unampa hela,daily unatongoza wanawake wengine classic,yaani hueleweki mipango yako ya mapenzi,utawagonga Hadi uchoke na watakua wanakuganda maisha yako yote.
Yaani hata demu ugombane nae akiwa na shida za kibinadamu,unakua gentleman unamsaidia,kisha unapotea kama jini,.......ukiwa na nyege unamcheki,......yaani hueleweki malengo yako nini ya mapenzi hapa duniani.......Hivo vitu ndio wanawake wanapenda kwenye hii dunia......wanawake hawapendi hela ndio mana mabilionea wanawake ni kuwatatafuta na tochi na wengi wamerithi hizo pesa kwa wanaume wao au wazazi wao
Akihis sio akijua...halafu uspngane na uhalisiaKwamba mwanamke akijua una wanawake wengine unawasiliana nao atazidisha mapenzi....teh
Cc
Eva wa Adam
Delila wa Samson
Kwamba mwanamke akijua una wanawake wengine unawasiliana nao atazidisha mapenzi....teh
Cc
Eva wa Adam
Delila wa Samson
Kwani nimepinga basi???!! Walaaa kazi iendeleeAkihis sio akijua...halafu uspngane na uhalisia
Wala sijabisha hii kitu ni kweli kabisa, make hata kwetu inafanya kazi vemaKwa mwanamke utabisha sana lakini hii kitu hua ipo kwenye subconsious mind zenu nadhani hata nyie wenyewe hamjui kwanini. Ni kama sisi tunavyopenda makalio, ukiniuliza kwenye makalio napenda nini hasa sina jibu.
Hujiamini tu wewe hata ukiwa na kumi mmoja akikuacha na wote wanakula corner na hata ukiwa na wengi full stress tu.jifunze kujipa furaha mwenyewe na sio kutegemea watu moyo wako utakuwa na amani
Wala sijabisha hii kitu ni kweli kabisa, make hata kwetu inafanya kazi vema
Kwahio unaamini kabisa wote wanakusubiri hadi uwapangie??Mkuu big up sana, wewe unaielewa hii game vilivyo. Mimi binafsi tangu nimeujua mchezo sijawai hangaika na mwanamke yaani ulivyoeleza ndio hivyo hivyo! Wiki hii nilikua na miadi na wanawake wanne yaani mmoja anataka jumatano, mwingine alhamisi, mwingine ijumaa na mwingine leo! Nikaona wataniua nimekula mmoja alhamisi wengine nimewapotezea ntawapangia ratiba next week huko. Na hao wote hakuna anaepata senti tano yangu na nachat nao mda nikipenda.
Kwa mamlaka niliopewa nakutunuku shahada ya Uzamivu katika “Falsafa za wanawake katika mahusiano ya kimapenzi”