Kijana, don't settle with your agemate

Kijana, don't settle with your agemate

Vipi, unampa ushauri gani EMMANUEL MACRON na mkewe BRIGITTE MARIE-CLAUDE MACRON.?

Emmanuel MACRON, kazaliwa December 1977, na mkewe BRIGITTE kazaliwa April 1953.
(wakati Emanuel anazaliwa, Brigitte alikuwa na umri wa miaka 24)


NB: Emmanuel Macron, ni Rais wa sasa (2017-present) wa Ufaransa.
Hatuna ushauri wa kumpa bwana EMMANUEL zaidi ya kumuonesha hii video.

Yaani rais wa nchi kama France unapigwa na mkeo mbele ya camera????

Ama kweli upele haumpati mwenyekucha.

ningekua ni mimi ningetangaza ndoa hapo hapo hata na muhudumu wa ndege na kibibi kingeenda jela.

View: https://youtube.com/shorts/LwnfFlclq1s?si=ZsRJWTEEJ9IMu4Vx

Kuna mambo sio ya kuletea masihara kama ofisi ya umma.


Mf: hapa Tanzania inasemwa kuwa kuna mama mmoja alikua ni muheshimiwa jaji alimuweka mumewe rumande pale pele mahakamani kwa kosa la kupiga honi ya gari.


unaambiwa mheshimiwa yupo bize anasikiliza kesi, baba kaja kumpitia. kuingia parking ya mahakamani si kapiga honi.anajifanya anaitawala mahakama kama yupo ghetto kwake.


Mama katoa amri, aliepiga honi awekwe ndani, maaskari chap kwenda kumtafuta mpiga honi wanakuta ni baba.


kwa sinario kama hiyo, huwezi kumkamata baba bila kumtaarifu mheshimiwa jaji.


jaji kaja kuambiwa kuwa anaepiga honi ni baba, jaji kasema kamataaaaaa, kwani baba ni nani kwenye ofisi ya serikali?


unaambiwa dingiii yupo bize anatongoza watumishi wa mahakama anashangaa paaaap pingu!!!!
 
Halafu ni ma gangster,real nigga wamezaliwa atlanta northern georgia wamekulia new york...hawawezi kununua gazeti jioni labda wananunua gazeti lililosomwa na wengi
Ukitoa title aliyokua nayo riri.

Imagine unakutana nae kwenye daladala unaweza ukampisha seat kwa heshima.
 
Mi huyu niliyenae na miaka 50 yake tabu tupu akienda kimoja hoi, namiss vijana wa miaka 30 na kitu ukitoka hapo unaumwa kilakitu ila Hawa wazee basi TU tunavumilia hakuna jinsi. Hapa natamani nibaki single nipumzike hata kidogo
 
Ukitoa title aliyokua nayo riri.

Imagine unakutana nae kwenye daladala unaweza ukampisha seat kwa heshima.
Kwamba amezeeka? Au amekua mshangazi!! Nakataa,...
Badgirlriri bado teketeke hajachoka ivo man,halafu miaka 37 sio mkubwa kivile,bado analea halafu watoto wagodo that way ameamua kuishi kama mama kweli....
Ndio maana amestop hata ma tour ya fashion,hashindi studio,hafagilii sana media ila ni billionaire...
Unadhani kim kardashian,khoe,khloe bila surgery wangekua vile na wanavozaa kila uchao?
 
Wanaume wa JF tumepagawa, kila mmoja an analeta wazo lake.

Kuna uzi humu jamaa anashauri usimzidi mwanamke wako umri mkubwa sababu mwanaume ukishazeeka, huwezi kukata kiu ya mkeo hivyo unatengeneza mazingira ya kusalitiwa.

Gap la miaka 15 (miaka 50 kwa 35). Hapo mwanaume unapiga kimoja, viwili kwa shida. Ila mwanamke kwa umri wa 35 ananitaji zaidi ya hapo.
 
Mwisho wa thread hii kuna picha moja ni Criss brown na Rihana wakati wakiwa katika mahusiano kwa wakati huo walikua na miaka 19. Picha zingine mbili ni picha zao kwa sasa criss ana miaka 36 na rihana ana 37.

Umegundua nini?. Criss brown bado kijana mbichi kabisa anaeweza kuvutia hata hawa mabinti wanaochipukia wakina Tyler, wakati Rihana tayari ni mshangazi. Hawezi tena kuvutia wanaume wenye status kubwa mfano Cristiano Ronaldo.

Rihana mwenyewe aligundua hilo ndio maana baada ya kumaliza kula ujana na badboys wakina criss brown, drake n.k. Aliona menopause hii hapa acha atafute sehemu ya kutulia hata kwa mwanaume ambae amemzidi kila kitu.

Akaingia kazini kutafuta retirement plan, ndipo simp mmoja ambae alikua amewekwa kwa friendzone kwa miaka mingi anaitwa ASAP Rock akajitokeza kununua gazeti jioni. Ni dhahiri ukirudi miaka 19 nyuma wakati Rihana yupo kwenye ubora wake asingengekubali ku-settle na mwanaume wa level ya ASAP rock, kwa sababu kwa miaka hiyo alikua na options bora zaid levels za jay z.

Nataka nikwambie nini kijana. Moja ya kosa utakalolifanya kwenye mahusiano ni ku-settle na mwanamke ambae ni agemate wako. Nakushauri settle na mwanamke ambae umemzidi miaka 8-15.

Sababu pekee ya kukufanya ku-settle na age mate wako ni ikiwa mlianza mahusiano yenu tangu mkiwa wadogo. Lakini hawa wa kukutana nao ukubwani achana nao. At 30's a woman passes her prime, she is done with almost averything, while a man you're just getting started.

Mbali na menopause na mwanamke kuwahi kuzeeka vilevile agemate wako amekuzidi uzoefu na tricks zote kwenye nyanja ya mahusiano. Hii ni kwa sababu wanawake wanaanza kujihusisha na haya mambo mapema sana. Ni rahisi kumpata kijana wa kiume mwenye miaka 22 na hajawahi kufanya mapenzi, kuliko kumpata binti wa miaka 18 akiwa bado bikira. Mwanamke hatakiwi kukuzidi uzoefu kwa sababu wewe ndie unaenda kuwa kiongozi ndani ya nyumba

Niggaz, dating a woman of 26-30+ is not romance, it's rescuing mission. By this stage most of them have been through men you can't imagine, different bedrooms, different positions, different calibles. They have tested alphas, betas, players, hustlers, broke boys, rich boys and after years of exploration they want to rebrand themselves as serious women. Don't be deceived, its atrap. She is not looking for love anymore, she is looking for a retirememt plan.

Kumbuka pia, kuna wanaume ambao tayari washaoa hao agemates wao.. Infact hata hapa kwenye uzi wanaweza wakaja kujitetea, lakini sio kwamba hawaoni mantiki ya kinachoandikwa, isipokua wanatetea maamuzi ambayo tayari washayafanya. Maana ndio option pekee waliyobaki nayo kwa sababu hawawezi kurudisha muda nyuma. Sikatai hoja zao wala sipo hapa kuwaambia waachane na wake zao.

Nipo hapa kukusanua wewe kijana ambae bado upo upo kwanza. Najua wengi mnacheza kwenye interval age ya 25-35. Kijana, pool ya single mother, agemate na wanawake wenye miaka kuanzia 30, achana nayo,kwa sababu ukifanya risk assessment, potential loss ni kubwa zaidi ya potential benefits.

Remember, after many years of partying, living recklessly and exporation in dating pool, in the name of having fun. She will start looking for a naive and safe man who will ignore her past, carry her baggage, fix her mistakes and secure her future. Don't be that man. Date a woman in her prime. You didn't build your life to endup with a leftover.

Don't be a simp
Jiwe la gizani hilo. Tusubiri milio kwa litakalo mpata
 
Uzi wenye akili kubwa huu, tukiweza kuurank, wastahili uwe ni uzi wa kwanza bora kabisa wa kufungia huu mwaka 2026.

Uzi umejikita ku unlock akili zembe na bweteki za vijana katika kuchagua wenza wa kuishi nao.

Unaoaje mwanamke makamo sawa ili iweje kwanza, maslahi?

Lakini hili la menopause ungelihariri kwa bold, walisome hata bila kuisoma topic nzima hii pendwa.

Unakuta bibi na bwana walishatalakiana huku wakiishi nyumba moja sababu ni nini, 'MENOPAUSE'.
Nashaangaga sana watu wanaosema eti ndoa haijalishi umri kikubwa muendane mitazamo na nini sijui. Najisema hawa watu hawajui kitu kinaitwa menopause
 
Mi huyu niliyenae na miaka 50 yake tabu tupu akienda kimoja hoi, namiss vijana wa miaka 30 na kitu ukitoka hapo unaumwa kilakitu ila Hawa wazee basi TU tunavumilia hakuna jinsi. Hapa natamani nibaki single nipumzike hata kidogo
Kabla hamjaanza kuishi pamoja hamkutest mitambo
 
Picha niliyotumia ni ya ndio picha ya sasa ambayo inazunguka mitamdaoni na rihana kajifungua mtoto wake wa mwisho miaka miwili iliyopita.

Ni kweli uzazi ni moja ya factor inafanya wanawake kubadilika na kuonekana wamama zaidi. Kwahiyo kama unaona hiyo inaweza ikaleta utata kidogo then chagua dogodogo kama nilivyoshauri
Rihanna kajifungua mwaka jana, tena mwishoni mtoto wa 3.
Miaka 2 iliyopita hiyo vipi?
 
Wanaume wa JF tumepagawa, kila mmoja an analeta wazo lake.

Kuna uzi humu jamaa anashauri usimzidi mwanamke wako umri mkubwa sababu mwanaume ukishazeeka, huwezi kukata kiu ya mkeo hivyo unatengeneza mazingira ya kusalitiwa.

Gap la miaka 15 (miaka 50 kwa 35). Hapo mwanaume unapiga kimoja, viwili kwa shida. Ila mwanamke kwa umri wa 35 ananitaji zaidi ya hapo.
Offcouse suala fitness lazima ulizingatie. Miaka 50 kama fitness ipo fresh mbona bado kijana kabisa. Mwanamke wa 35 hawezi kukushinda. Miaka 50 si kama edo kumwembe tu, sasa yule ni mzee wa kutolewa knock out na mwanamke wa miaka 35?
 
Mimi nae gape isizidi miaka 8, i only accept 3-8. Nje ya hapo nope, uje uanze kunipigia mi story za Y2K 😂

I have no business dating anyone beyond one decade. Yaani kipindi yeye ashaanza kutongoza mi ndo nazaliwa afu nije kuwa nae? Hapana mwaya. Kwanza venye i’m childish natabia ya kuona watu wakubwa kwangu wako serious, afu nawaza ntavuaje nguo loh!

Uzuri wengine bado tunatongozwa na watu wa kuanzia 1970’s hadi 2005. Ni sisi tu kuchagua.

Mleta mada japo ulitaka kukazia mada yako umemuonea Riri, leta picha ya Riri nzuri, au leta picha ya Chris ile yuko kama teja ili tubalansi ikwesheni. Au lete picha ya biba vs selena gomez.
 
Lakini naelewa, naelewa sana kwanini wanaume wanaelekezwa kudate katika age gape kubwa.

Sababu sio sana za kibayolojia. Kwakuwa hiyo hiyo bayoloji inamuadhibu mwanaume kwa mambo fulani fulani. Wanaume wakubwa mnaelewa msijitoe ufahamu.

Sababu nyingi ni za kisaikolojia, Ndoa imejengwa katika misingi ya “Power &control” Truth is …. when a woman develops her frontal lobe ni ngumu kumfanyia michezo asielewe na asikuhold accountable , na kikawaida wanaume ni watu wa michezo michezo, if you know you know.

So yah, to be safe oa mtu mdogo sana kwako tena before her 27! 😅

Only men who want partners can date/marry they are age mates.
 
Back
Top Bottom