hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,038
- 72,662
🤣Naunga mkono hoja, mtoto wa kike piga gap hata miaka kuanzia 17 kwenda juu , but lolote ila laweza tokea. Havieleweki hivi vijimambo
🤣Naunga mkono hoja, mtoto wa kike piga gap hata miaka kuanzia 17 kwenda juu , but lolote ila laweza tokea. Havieleweki hivi vijimambo
We found herHii ndo shida ya upungufu wa nguvu za kiume na kukosa sasampa
Halafu nashangaaga humu jamvini mnatupopoaga sana mbona sisi hatusemi kuwa out of wanaume 100 wenye nguvu za kiume ni only 5%
Mbona hatusemi jamani
😄Ujumbe wako Upo sahihi ila kumtolea mfano riyana umepuyanga pesa zipo yule hazeeki kizembe.
Kuna dogo nimempiga gape la miaka 10 aisee yeye wa 2006 hapa nainjoy maisha,anajua mimi nina 23.
Ndio unajua kwamba hata mimi naweza nikakugongea mkeo/demu wako leo na usifanye kitu si ndio? Sasa unashangaa nini kwa Rihanna?Yaah naijua, ila sio kama ya kina Rihana.
Jamaa kaandika nondo tupu.
Asap rock kwa mara ya kwanza walikutana na rihana mwaka 2012, wameanza mahusiano mwaka 2020. Jamaa aliwekwa friendzone miaka 8Ila mkuu umemshusha sana mwanangu ASAP yan asap rocky amenunua gazeti jioni na wamezaa watoto 3 dah....acha bhana eti aliwekwa friendzone for while acha bhana
Kiukweli Natafuta Ajira hii paragraph imeniumiza moyo maana ukweli umeuchana kama ulivyoNiggaz, dating a woman of 26-30+ is not romance, it's rescuing mission. By this stage most of them have been through men you can't imagine, different bedrooms, different positions, different calibles. They have tested alphas, betas, players, hustlers, broke boys, rich boys and after years of exploration they want to rebrand themselves as serious women. Don't be deceived, its atrap. She is not looking for love anymore, she is looking for a retirememt plan.
Kupanga ni kuchaguaUtetezi namba moja.
Age sio kigezo cha usemayo case closed!
Umri haujawahi kuwa ishu hata siku moja, hako kadogo-kadogo kanaweza kukuhenyesha mpaka ukamtamani mshangazi. Kwenye ishu nzima ya Mahusiano kinachoamua mdumu au msidumu ni kwa kiwango gani mmeoana au kuendana. Vinginevyo ni sarakasi tu. Na asiwepo wa kugusa post yangu
Wenzetu wapo very strictly kwenye suala la kuzaa. Kule kuzaa ni mipango sio kupiga mashine tu. Hao wakina criss brown, drake na maex wengine nao wana mababy mamaRihanna ameachana na Chris B ila amekuja kuzaa na kijana mdogo ambae amemzidi miezi 7 na jamaa Asap anajua kupiga mashine ni anamtungisha mimba juu ya mimba
Ubaya wa hao wasanii ni ile unajua kabisa fulani na fulani kashaichapa. Imagine Marioo anajua former members wa wasafi pamoja na boss wao tayari washapita kwa baby mama wakeKwani shingapi mkeo au demu wako unaijua foleni yake?
Ndio anakua anajua na yeye anaingia mazima kuichapa na kuijaza ndani kabisa maana anabeba lawama za woteUbaya wa hao wasanii ni ile unajua kabisa fulani na fulani kashaichapa. Imagine Marioo anajua former members wa wasafi pamoja na boss wao tayari washapita kwa baby mama wake
Umaarufu na pesa ASAP rock yupo chini ya levels za rihana. Wanawake wana nature ya hypergamy. Rihana settled for ASAP rock because dating market stopped rewarding her choices.ASAP rock ndo kwenye brand ya Ray ban msichukulie watu poa
Sana yaaniThis thread is a bitter pill for the ladies to swallow 😂