Kijana, don't settle with your agemate

Kijana, don't settle with your agemate

Naunga mkono kama kwako sura ni changamoto kubwa kuliko akili, mimi vitoto vilinishinda kwa sababu maisha ya malezi yanahitaji commitment na akili komavu kitu ambacho kwa vitoto vya below 23 vingi unaweza ishia kuwa unafoka tu bure ndani
But a 30+ woman she was 23 also. What happened then? why no man settled for her? The truth is women don't ever mature, they just get oId. Degrees don't change that either.

There's really not much difference between a 30 and an 18 year old. The only difference is the oIder woman has Iost value on the sexuaI market, but they're all still chiIdish. When faced with tough situation, both will either call a man for help or just cry

If you're to say to that 30 year oId woman "Iittle girl" she will blush. But if you're to say "Iittle boy" to a 30 plus year old man, he will get angry. See, how they will always be chiIdish

When the 30 year plus oId woman is with the 18 year old girl, guess what they'll be talking about - gossip, wholeling, relationships, ice cream and clothes

Women never mature, they just get old, your own mother is still the same Iittle girl to your father when it comes to reasoning. So young and fresh woman is the better choice.
 
So what?????
Nakuuliza swali nawe unaniuliza
20260311_150254.jpg
 
Vipi, unampa ushauri gani EMMANUEL MACRON na mkewe BRIGITTE MARIE-CLAUDE MACRON.?

Emmanuel MACRON, kazaliwa December 1977, na mkewe BRIGITTE kazaliwa April 1953.
(wakati Emanuel anazaliwa, Brigitte alikuwa na umri wa miaka 24)


NB: Emmanuel Macron, ni Rais wa sasa (2017-present) wa Ufaransa.
Venye anakutana navyo anajua yeye mwenyewe na Mungu wake.Hawezi sema😀😀😀😀
 
Mwisho wa thread hii kuna picha moja ni Criss brown na Rihana wakati wakiwa katika mahusiano kwa wakati huo walikua na miaka 19. Picha zingine mbili ni picha zao kwa sasa criss ana miaka 36 na rihana ana 37.

Umegundua nini?. Criss brown bado kijana mbichi kabisa anaeweza kuvutia hata hawa mabinti wanaochipukia wakina Tyler, wakati Rihana tayari ni mshangazi. Hawezi tena kuvutia wanaume wenye status kubwa mfano Cristiano Ronaldo.

Rihana mwenyewe aligundua hilo ndio maana baada ya kumaliza kula ujana na badboys wakina criss brown, drake n.k. Aliona menopause hii hapa acha atafute sehemu ya kutulia hata kwa mwanaume ambae amemzidi kila kitu.

Akaingia kazini kutafuta retirement plan, ndipo simp mmoja ambae alikua amewekwa kwa friendzone kwa miaka mingi anaitwa ASAP Rock akajitokeza kununua gazeti jioni. Ni dhahiri ukirudi miaka 19 nyuma wakati Rihana yupo kwenye ubora wake asingengekubali ku-settle na mwanaume wa level ya ASAP rock, kwa sababu kwa miaka hiyo alikua na options bora zaid levels za jay z.

Nataka nikwambie nini kijana. Moja ya kosa utakalolifanya kwenye mahusiano ni ku-settle na mwanamke ambae ni agemate wako. Nakushauri settle na mwanamke ambae umemzidi miaka 8-15.

Sababu pekee ya kukufanya ku-settle na age mate wako ni ikiwa mlianza mahusiano yenu tangu mkiwa wadogo. Lakini hawa wa kukutana nao ukubwani achana nao. At 30's a woman passes her prime, she is done with almost averything, while a man you're just getting started.

Mbali na menopause na mwanamke kuwahi kuzeeka vilevile agemate wako amekuzidi uzoefu na tricks zote kwenye nyanja ya mahusiano. Hii ni kwa sababu wanawake wanaanza kujihusisha na haya mambo mapema sana. Ni rahisi kumpata kijana wa kiume mwenye miaka 22 na hajawahi kufanya mapenzi, kuliko kumpata binti wa miaka 18 akiwa bado bikira. Mwanamke hatakiwi kukuzidi uzoefu kwa sababu wewe ndie unaenda kuwa kiongozi ndani ya nyumba

Niggaz, dating a woman of 26-30+ is not romance, it's rescuing mission. By this stage most of them have been through men you can't imagine, different bedrooms, different positions, different calibles. They have tested alphas, betas, players, hustlers, broke boys, rich boys and after years of exploration they want to rebrand themselves as serious women. Don't be deceived, its atrap. She is not looking for love anymore, she is looking for a retirememt plan.

Kumbuka pia, kuna wanaume ambao tayari washaoa hao agemates wao.. Infact hata hapa kwenye uzi wanaweza wakaja kujitetea, lakini sio kwamba hawaoni mantiki ya kinachoandikwa, isipokua wanatetea maamuzi ambayo tayari washayafanya. Maana ndio option pekee waliyobaki nayo kwa sababu hawawezi kurudisha muda nyuma. Sikatai hoja zao wala sipo hapa kuwaambia waachane na wake zao.

Nipo hapa kukusanua wewe kijana ambae bado upo upo kwanza. Najua wengi mnacheza kwenye interval age ya 25-35. Kijana, pool ya single mother, agemate na wanawake wenye miaka kuanzia 30, achana nayo,kwa sababu ukifanya risk assessment, potential loss ni kubwa zaidi ya potential benefits.

Remember, after many years of partying, living recklessly and exporation in dating pool, in the name of having fun. She will start looking for a naive and safe man who will ignore her past, carry her baggage, fix her mistakes and secure her future. Don't be that man. Date a woman in her prime. You didn't build your life to endup with a leftover.

Don't be a simp
Uzi wenye akili kubwa huu, tukiweza kuurank, wastahili uwe ni uzi wa kwanza bora kabisa wa kufungia huu mwaka 2026.

Uzi umejikita ku unlock akili zembe na bweteki za vijana katika kuchagua wenza wa kuishi nao.

Unaoaje mwanamke makamo sawa ili iweje kwanza, maslahi?

Lakini hili la menopause ungelihariri kwa bold, walisome hata bila kuisoma topic nzima hii pendwa.

Unakuta bibi na bwana walishatalakiana huku wakiishi nyumba moja sababu ni nini, 'MENOPAUSE'.
 
Back
Top Bottom