Kijana, don't settle with your agemate

Kijana, don't settle with your agemate

Mimi nae gape isizidi miaka 8, i only accept 3-8. Nje ya hapo nope, uje uanze kunipigia mi story za Y2K 😂

I have no business dating anyone beyond one decade. Yaani kipindi yeye ashaanza kutongoza mi ndo nazaliwa afu nije kuwa nae? Hapana mwaya. Kwanza venye i’m childish natabia ya kuona watu wakubwa kwangu wako serious, afu nawaza ntavuaje nguo loh!

Uzuri wengine bado tunatongozwa na watu wa kuanzia 1970’s hadi 2005. Ni sisi tu kuchagua.

Mleta mada japo ulitaka kukazia mada yako umemuonea Riri, leta picha ya Riri nzuri, au leta picha ya Chris ile yuko kama teja ili tubalansi ikwesheni. Au lete picha ya biba vs selena gomez.
Ingekua vizuri wewe ndie ungeleta hizo picha za wakina serena gomez. Maana kila mtu akitaka nitumie picha anayoitaka yeye nitakua na kazi nzito sana
 
Lakini naelewa, naelewa sana kwanini wanaume wanaelekezwa kudate katika age gape kubwa.

Sababu sio sana za kibayolojia. Sababu hiyo hiyo bayoloji inamuadhibu mwanaume kwa mambo fulani fulani. Wanaume wakubwa mnaelewa msijitoe ufahamu.

Sababu nyingi ni za kisaikolojia, Ndoa imejengwa katika misingi ya “manipulation &control” Truth is …. when a woman develops her frontal lobe ni ngumu kumfanyia michezo asielewe na asikuhold accountable , na kikawaida wanaume ni watu wa michezo michezo, if you know you know.

So yah, to be safe oa mtu mdogo sana kwako tena before her 27! 😅

Only men who want partners can date/marry they are age mates.
Biology don't negotiate with feminism
 
Deep down unajua nime point ukweli, ukweli ambao huwezi kuuongelea, ofcoz hatutakiwi kuujua sana.

I don’t think if it has something to do with feminism.
 

Attachments

  • IMG_20260315_001819.jpg
    IMG_20260315_001819.jpg
    344.3 KB · Views: 2
  • IMG_20260315_001902.jpg
    IMG_20260315_001902.jpg
    337.8 KB · Views: 2
Mimi kwenye gallery yangu sina picha ya serena gomez wala ya criss akiwa kama teja ambazo wewe unataka zitumike kama reference. Ndio maana nikasema zilete wewe. Kipi ambacho haujaelewa?
Nimeelewa, nilikuwa nakwambia kuwa umetemper na vielelezo bwana shemeji!! Umechagua vielelezo vya kufavor mada yako.

Anyways sio big deal, mada ya leo haujapingwa hata kidogo nakuona unavyosherehekea 🤣
 
Back
Top Bottom