Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,907
- 63,885
Mimi nakumbuka alishindwa jua Tanganyika iliungana na nchi gani kuunda Jamhuri ya Muungano.Kuna awamu ilimteua MTU anaitwa Mulugo kama Naibu Waziri wa Elimu alichoenda kufanya SA kwenye Mkutano kiliwaacha Hoi watu. Baadae alitumbuliwa sikumbuki kosa lake. Akishindwa kutaja hata mwaka Kwa kuthungu.
Naibu Waziri wa Elimu hajui Tanganyika imeungana na nchi gani ilikua ni ajabu na kweli surprisingly hakutolewa ofisini kwa kuonyesha hii incompetence.