Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,271
Hahaaaa.... nimechekaaaUshaambiwa 'DISTURBING NEWS' kwani hiki unachosema ni disturbing au good news???
Hahaaaa.... nimechekaaaUshaambiwa 'DISTURBING NEWS' kwani hiki unachosema ni disturbing au good news???
Atahukumiwa kwa kes gani aiseeSugu miaka kumi jela
Huyo ni ofisa usalama alieasi na kuamua kujilipuahuyo mkuu ni nani ?
Inayo mkabiliAtahukumiwa kwa kes gani aisee
Kaka nimeYajayo yanahuzunisha na kutia simanzi
ule uzi wako kabisakabisa. Chukua hata kama huipendi. Na nyumbani kwako weka bendera ya CCmkabisa.Utabaki salama endapo utakuwa na kadi ya chama otherwise andika wosia kabla mwana wa adamu hajatuma watu wasiojulikana waje wanyanyuke na wewe...
Juma tatu naenda kuchukua kadi ya chama haya maisha sijayazoea walai ya kuviziana
HahaaaaaMuheshimiwa Kazi, alie mnyuka mgombea mwenza na rungu.....
This is not news as that is expected by 99.9%. Ataomba rufaaSugu miaka kumi jela
Hii haiwezi kuwa disturbing news itakuwa ni siku kama Christmas au Iddi el FitriKm ni hili la faru ndugai bora mola ampende tu jomoni
mbona watuweka njia panda hebu fafanua au funguka mkuu nin kitatokea au kuna nini tenaYajayo yanahuzunisha na kutia simanzi
Utabaki salama endapo utakuwa na kadi ya chama otherwise andika wosia kabla mwana wa adamu hajatuma watu wasiojulikana waje wanyanyuke na wewe...
Juma tatu naenda kuchukua kadi ya chama haya maisha sijayazoea walai ya kuviziana