Kihoro kingine chaja, just get prepared!!

Kihoro kingine chaja, just get prepared!!

Madhara ya mafumbo ndio haya, kila mtu anaibuka na lake, haya wengine macho na masikio yapo India, wengine yapo Buguruni yaani ni tafrani tu kila kona.
 
Mark this tweet...!!!
e29a228de0f46f5d44083db4ce6472cd.jpg
Next week ni hukumu ya sugu labda ndo itakuwa ishu kubwa kwa wiki ijayo
 
Wekeni data za kutosha wakuu,ili kama tuikimbie nchi,tuanze mapema,uzuri Mimi naongea Lugha zote za wenyeji wa mikoa ya mipakani,na jirani zao upande wa pili,kuvuka boda faster,nafika upande wa pili,iwe Kenya,msumbiji kule mtambaswala,au Tunduma,au Kigoma,
 
Wekeni data za kutosha wakuu,ili kama tuikimbie nchi,tuanze mapema,uzuri Mimi naongea Lugha zote za wenyeji wa mikoa ya mipakani,na jirani zao upande wa pili,kuvuka boda faster,nafika upande wa pili,iwe Kenya,msumbiji kule mtambaswala,au Tunduma,au Kigoma,
Acha uoga
 
kutokuja ni tatizo lakini kujua ni tatizo zaidi. sasa hii ya kwako haieleweki nauhakika wenye simu yako washakupigia kwakuwa sio tulichozoea.
 
Back
Top Bottom