Kihoro kingine chaja, just get prepared!!

Kihoro kingine chaja, just get prepared!!

Mbona kifo ni sehemu ya maisha,hali kadhalika kifo ni WADHI kwa waliobakia kuacha maasi na kumuabudu Mwenyezimungu
 
Itakua ni kuhusu Chadema kufutwa au? It will be a disaster

Let's wait and see
 
Bila matukio watu wanakosa ya kuongea, taifa la watu wa ajabu sana.
.
325e5d1feb0f6ed11bcc7706789c6bee.jpg
 
Muhudumu ongeza beer mezani hakuna kulala kodi zetu zinatuuma sana...walijua kuwa mungu ni Sichonje?pwaaaa amenyakuliwa akiwa india!
Kiburi chote kwisha habari yake!
 
Mnafiki tu huyo wakt sie tunamueleza bora ukae kmy Brother kuliko kumpigia kampeni dictator uchwala lkn yy wapi kisa lowasa alimfanyia dhuruma kumfuta kazi TISS nakutaka kumtoa roho yke hata mie sikuwa upande ule lkn ni bora kukaa kmy kuliko kumshabikia mtu ambaye unajua kbs anakuja kuturudisha nyuma karibu miaka 50 hlf leo hii nae anajifanya mtetezi mnafiki tu huyo ana lolote...
Kwani anachokisema hua ni kweli au uongo?
 
Back
Top Bottom