Kihoro kingine chaja, just get prepared!!

Kihoro kingine chaja, just get prepared!!

Evarist Chahali ni Afisa Usalama mstaafu, mbobevu katika masuala ya intelijensia na upelelezi,ujasusi na ukachero...

kwa hiyo usishangae kusikia kitu kikubwa kikitokea, vuta subira
aiseee kumbe Jamaa ndiye CV Yke hiyo ...kweli hii inapaswa kuitwa PANAPOFUKA MOSHI..
 
EVARIST CHAHALI, ALIWEKA BANDIKO KUWA 'KILA MTZ MWENYE MAPENZI MEMA, APGE KELELE KUHUSU YANAYOENDELEA' LAKN AKANIACHA HOI KUWA ALIMPGIA DEBE MAGUFULI KWA SABABU ZAKE BINAFSI... SASA MTU ANAYEMPGIA KAMPEN KIONGOZ KWA SABABU BINAFSI, ASIAMINIWE.. UZALENDO NI KULINDA MASLAHI YA TAIFA.. CHAHALI, ALISTAHILI KUTIMULIWA
Kutimuliwa wapi? Hawa watu huwa hawatimuliwi, kile kiapo kinabaki milele no matter what. Ni wasaliti hawa watu na hawaaminiki.
 
Hahaaa....!!
Watu humu ndani mna vituko khaaa mbona mnaulizia hali ya faru ndugai kwani mmeambiwa israel anataka kupaa nae au???
Kufa kwake sio habari...kwasavabu ni mgonjwa. Habari ni kifo cha Aquilina
 
KWANZA IELEWEKE KUWA KWA MFUMO WA SASA, DISTURBING NEWS NI ILE INAYOPELEKA KILIO UPANDE WA UPINZANI.

KWA HYO KUNA MAWILI

EITHER

1. Kuna mbunge au kiongozi wa upinzani anahamia chama tawala AU
2. Hukumu ya Rais wa Mbeya tuliambiwa wiki ijayo, yani Tarehe 25 bila shaka.


SASA HABARI TAJWA HAPO JUU SISI AMBAO TULIO CCM HAZIWEZI KUTUDISTURB..

(Kama nimebet sawasawa, basi hii ni siri ya ushndi wangu wa mkeka wa jana kutoka bet360, man u kadraw, roma kafungwa na shaktar donestk)
 
Mark this tweet...!!!
e29a228de0f46f5d44083db4ce6472cd.jpg
Aisee
 
Back
Top Bottom