Kihoro kingine chaja, just get prepared!!

Kihoro kingine chaja, just get prepared!!

Hahaaa....!!
Watu humu ndani mna vituko khaaa mbona mnaulizia hali ya faru ndugai kwani mmeambiwa israel anataka kupaa nae au???
Hawa faru ni adimu duniani mnataka mmtoroshe? uyo Israel hamjui JPM athubutu aoene,JPM hajaribiwi

Hatutakubali kabisa faru wetu achukuliwe uyo faru tumemtunza kwa kodi zetu yule faru mwingine alipokufa mlifurahi bado mnamtaka na huyu
 
EVARIST CHAHALI, ALIWEKA BANDIKO KUWA 'KILA MTZ MWENYE MAPENZI MEMA, APGE KELELE KUHUSU YANAYOENDELEA' LAKN AKANIACHA HOI KUWA ALIMPGIA DEBE MAGUFULI KWA SABABU ZAKE BINAFSI... SASA MTU ANAYEMPGIA KAMPEN KIONGOZ KWA SABABU BINAFSI, ASIAMINIWE.. UZALENDO NI KULINDA MASLAHI YA TAIFA.. CHAHALI, ALISTAHILI KUTIMULIWA
Hapo alifeli sana. Hawa ma socialmedia activists (keyboard warriors) ni wazinguaji tu. Ni kama yule wa tarehe 26
 
Back
Top Bottom