Mnafiki tu huyo wakt sie tunamueleza bora ukae kmy Brother kuliko kumpigia kampeni dictator uchwala lkn yy wapi kisa lowasa alimfanyia dhuruma kumfuta kazi TISS nakutaka kumtoa roho yke hata mie sikuwa upande ule lkn ni bora kukaa kmy kuliko kumshabikia mtu ambaye unajua kbs anakuja kuturudisha nyuma karibu miaka 50 hlf leo hii nae anajifanya mtetezi mnafiki tu huyo ana lolote...Mark this tweet...!!!![]()
Mmmmh si kuhusu hukumu ya kesi dhidi ya jamaa yule wanayemuita Rais wa nyanda za juu kusini? Akili yangu inanituma huko kila nikitafakari hii post ya Chahali
Aisee wapi zinapatikana kadi za ccm za chapchap?
Bei yake? nataka niilipie hata kwa miaka 4 lkn nianzie na 2014 au 2015.
...Mungu wetu ni Mungu wa upendo, tusiogope binadamu ambao akishaua mwili hawezi kuua roho. Ila nae atakufa na kwake Mola atahukumiwa sana na damu ktk mikono yake.
Sio kweliHajambo
Hahaaaa.... nimechekaaaUshaambiwa 'DISTURBING NEWS' kwani hiki unachosema ni disturbing au good news???
Its just a hallucination game, they are playing with your mind.....si mtuambie jamani....
Hahaaaa.... nimechekaaaUshaambiwa 'DISTURBING NEWS' kwani hiki unachosema ni disturbing au good news???