Mfufua Nyuzi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2024
- 201
- 250
๐๐๐
ana goli 14 akiwa kinara sasa anabahatisha vpYaani kajamaa manjino jakibahatisha kigoli tu,kiuzi hiki uchwara kinaibuka
HahahahahaDah huyu jamaa mods waingilie kati
HahahahahaHasibu la kausha damu...
Jinga kabisa wewe.Yaani kajamaa manjino jakibahatisha kigoli tu,kiuzi hiki uchwara kinaibuka
๐๐๐๐eeeeeeeNdugu zangu
Baada ya kujitafakari sana
Nmejifunza na nmeelewa nlikosea
Id yangu ile nmesahau password hivyo naomba mnielewe
1 Siku naandik uzi hu nlewa
2 nlikua na nyege afu wife hayupo/dada wa kazi alikua period
3 kodi ikawa nayo inaishia
4watoto hawana ada na njaa iko nyumbani
Aombae hupewa na mimi natumain kupewa
Wako wana jf ni mimi OKW BOBAN SUNZU
Ahsanteni
ukiwa kolo akili ina shakeAmna kitu pale kama ameshindwa kufunga hadi mechi ya jana tutegemee nini?
Anawapa wakati mgumu mashabiki wa Uto kujaribu kumuelezea kuwa ni mzuri lakini kila mechi anayocheza anawa prove wrong
Ile mechi ya pre season walioshinda goli 9 haina utofauti na ya jana lakini mwana bado kashindwa kutumia fursa.
ukiwa kolo akili ona shake