demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Hatimaye Usajili Bora zaidi katika dirisha hili la Usajili. kutoka Afrika ya Magharibi, mabingwa watetezi & wa kihistoria wa LigiKUU Tanzania Bara wamtambulishaa Stephane Aziz KI kama mchezaji Mpya wa Yanga SC.
Stephane Aziz Ki amenunuliwa kwa dau ambalo limevunja rekodi kwa timu ya ndani kununua mchezaji huyo. Kiasi cha Tsh Milion 400 ndicho kilitumika kuipata saini ya kinda hilo linalo tegrmewa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Burkina Faso.
Ilimbukwe Stephane Aziz KI ameamua kujiunga na mabingwa hao akikataa offer mbalimbali ikiwemo ile ya wapinzani wao wa jadi Simba SC.
Stephane Aziz KI amekamilisha kufanyiwa vipimo vya afya siku ya tarehe 14 mchana katika Health Facility maalumu ya wanamichezo inayoitwa “G Medical Center” inayomilikiwa na Boss wa GSM.
Aidha Stephane Aziz KI atajiunga na wachezaji wenzake baadae wiki hii kukamilisha utatu mtakatifu unaoitwa: MOMAKI
Bernard Morrison
Fiston Mayele
Stephane Aziz KI
Stephane Aziz Ki amenunuliwa kwa dau ambalo limevunja rekodi kwa timu ya ndani kununua mchezaji huyo. Kiasi cha Tsh Milion 400 ndicho kilitumika kuipata saini ya kinda hilo linalo tegrmewa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Burkina Faso.
Ilimbukwe Stephane Aziz KI ameamua kujiunga na mabingwa hao akikataa offer mbalimbali ikiwemo ile ya wapinzani wao wa jadi Simba SC.
Stephane Aziz KI amekamilisha kufanyiwa vipimo vya afya siku ya tarehe 14 mchana katika Health Facility maalumu ya wanamichezo inayoitwa “G Medical Center” inayomilikiwa na Boss wa GSM.
Aidha Stephane Aziz KI atajiunga na wachezaji wenzake baadae wiki hii kukamilisha utatu mtakatifu unaoitwa: MOMAKI
Bernard Morrison
Fiston Mayele
Stephane Aziz KI